Posts

KUTOKA KWA JOYCE KIRIA: UNGEKUWA NI WEWE AU NI MWANAO KANG'ATWA NA KUHARIBIWA HIVI UNGEJISKIAJE

Image
Leo tutakuletea mwendelezo wa ukatili kwa kina, aliyokuwa akiupata binti Yusta kwa mwajiri wake kung'atwa mwili mzima..  Yusta amepata mateso makali sana kwa miaka minne mfululizo na kuambulia madhara makubwa sana kwenye mwili wake ambao umepoteza unadhifu kutokana na majeraha meeeengiiiii sana..  Bi,Modesta Saimon ni mama mzazi wa Yusta akielezea jinsi alivyo umizwa na tukio. Ni dhahiri shairi kwamba mama huyu amebeba maumivu ya wakina mama wanaotuma watoto wao kuja kufanya kazi na kuambulia mateso yasiyoelezeka.  Cha kusikitisha Yusta amefanyiwa unyama huo na Mwanamke! Mama! Msomi! Anajulikana kwa jina la Amina Maige...     Huyo ndo mwanamke aliyefanya Unyama huo Amina Maige. Kina mama jamani tuache roho mbaya.. huyu mama ana mtoto wake wa kike.... Mtoto wa mwenzio umtafune namna hii kweli??? Ulemavu huu wa makusudi jamani kwa Mungu tutajibu nini?????? Ee Mungu turehemu..

BAADA YA BET DIAMOND ACHAGULIWA TENA AFRIMMA, YUPO KATIKA NOMINATION 5

Image
Baada ya seke seke la  BET sasa Diamond Platnumz amechaguliwa tena kuwa nominated katika tuzo za  za ‪ Afrimma‬  awards ( AFRICAN MUSIC MAGAZINE AWARDS), barani Africa, zitakazofanyika jijini Texas,tarehe 26 july, na time hii pia amefanikiwa kuwa nominated tena katika category 5. Best male east afrika Song of the year(number1). Video of the year (number 1) Best collabo (nymber1 rmx)ft davido And Best afrikan artist of the year Sasa kazi kwetu watanzania kumpa support Diamond kwa kuvote kupitia link hii http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/  Kisha vote kwenye kila category aliyopo. NINI MAONI YAKO? USISAHAU KULIKE PAGE YETU KUENDELEA KUPATA HABARI ZAIDI.

ANGALIA PICHA BABA AKUTWA AMEJINYONGA CHUMBANI KWA WATOTO WAKE-NGARA

Image
Mwili wa Mawazo Wilbard Kazungu (31) ukiwa nyumbani kwake  ukining'inia  baada ya kujinyonga katika chumba cha kulala watoto wake .   Eneo la chumba ambako alikaa kitandani na kunywa dawa ya kuoshea mifugo kisha kupanda stuli na kujitundika kamba Vijana walio kuwa na ukaribu na marehemu wakiwemo ndugu zake wakiubeba mwili wa marehemu kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi chini ya  jeshi la polisi Mganga mfawidhi wa kituocha Afya Mabawe Juvent John akifanya uchunguzi wa mwili wa marehemu Mawazo baada ya kuuondoka kwenye kamba Wananchi wakiwa mbele ya nyumba ya marehemu Mawazo katika kushuhudia mwili ukiondolewa kwenye kamba kwenye chumba alikojinyongea Askari polisi jamii (Afande Oscar ) akiwahutubia wananchi  kuwa na  ulinzi shirikishi kuhakikisha kila mmoja anatambua shida za mwenzake na kutoa taarifa katikavyombo vya dola kwa yule aliye na nia ya kutaka kufanya matukio ambayo ni makosa ya jinai Wananchi wakiwa katika tukio la Mw

Mh. Lowassa ashiriki sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa

Image
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa wakati wa Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wake,iliyofanyika Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa. Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,Mhashamu Severini Niwemugizi  wakati wa Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa,,iliyofanyika Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa. Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa akisalimiana na Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa wakati wa Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wake,iliyofanyika Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa. Askofu wa Jimbo la Tabora,Mhasamu Paul Ruzoka akizungumza machache wakati wa Sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu

ALIYOYASEMA TUNDU LISSU BAADA YA MBOWE KUGOMEWA KUGOMBEA WENYEKITI WA CHADEMA

Image
Dr.Wilbroad Slaa akigombea Uenyekiti wa Chadema naye Mhe.Mbowe akagombea Ukatibu Mkuu wa Chadema Uchaguzi ujao kuna tatizo?. Hakika chaguzi hizi zinazofuata, zitawarudisha Wasakatonge na Intarahamwe wengi vijijini kwao kutoka Dar Es Salaam, hatutakuwa na cha swalia mtume kwamba alikopa Benki za Umma wa Watanzania mamillioni ya Shillingi, mali zake zote zitapigwa mnada, zikawasaidie Wanafunzi wanaoketi juu ya mawe na akina mama waja wazito wanaojifungulia sakafuni kwa kukosa vitanda mahospitalinl huko majimboni. Ikumbukwe kwamba Chadema ni Chama Kikuu cha upinzani Nchini, hatua ya kuitwa Chama Kikuu Cha upinzani Nchini ni 'Long Process' inayopitia matukio mengi ambayo sio kirahisi tu kuishushia hadhi Chadema kwa matumizi ya 'Poor technics' kama hizi tunazoshudia sasa. Sisi hatuna wasiwasi hata kidogo kwa sababu hawa ni watu wadogo sana. Endeleeni kuzitangaza Ilani, Falsafa, Sera na Itikadi za Chama chetu kama kawaida popote pale mlipo, hizi ni

WASANII BONGO MOVIE WATIWA MBARONI KENYA

Image
Msanii   nyota wa filamu Bongo, Hisan Muya ‘Tino’. WASANII  nyota wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na Hisan Muya ‘Tino’ hivi karibuni walitiwa mbaroni katika mji wa Kilifi ulio mbele ya Mombasa nchini Kenya baada ya kukutwa wakipiga picha za filamu yao bila kuwa na kibali. Hata hivyo, waigizaji hao baadaye waliachiwa, ingawa hali ilikuwa ngumu kidogo kwa Tino, ambaye polisi wa Kenya walidai hakuwa Mtanzania, bali ni raia wa Somalia. Dude alithibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema liliwatokea kutokana na mazoea ya huku nyumbani ambako hufanya shughuli zao za kupiga picha za filamu zao bila kuhitaji kibali. Msanii   nyota wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. “Yaani tumepata aibu ya mwaka, kwani tulienda kushuti bila kuomba kibali kutokana na mazoea ya huku kwetu Bongo, tulipekuliwa sisi na gari letu, baada ya hapo kibali kikaletwa nikaachiwa lakini Tino waliendelea kumshikilia wakisema ni Msomali mpaka mkuu wa shirikisho la filamu Mombasa alipok

MTOTO WA MIAKA 9 ATAKA KUWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA NJIA NGUMU

Image
Mzazi wa mtoto Idda Baitwa,Bw Respcius Baitwa akifanya maandalizi na mwanae ya kuanza safari  ya kuweka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro Mtoto Idda Baitwa akiwa na baba yake mzazi Bw Respcius Baitwa pamoja na ndugu zake wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi kabla ya kuanza safari  ya kuweka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro. Mtoto Idda Baitwa akijiandikisha katika lango la Umbwe la kupanda mlima Kilimanjaro kabla ya kuanza safari ya kupanda mlima huo.nyuma yake ni Bw Respicius Baitwa akshuhudia. Safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa mtoto Idda Baitwa ikaanza. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini. MTOTO wa miaka tisa(9) Idda Baitwa ameanza safari  ya kuweka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro akiwa na umri mdogo zaidi huku akitumia njia ya Umbwe ambayo inaaminika kuwa ngumu zaidi kwa watalii wakati wa kupanda mlima huo. Msichana huyo mwanafunzi wa darasa la nne, katika shule ya msingi Mnazi iliyoko Manispaa ya Mos

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za miaka 10 ya chuo cha JKT mapinga

Image
  Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akiwa anakata utepe kuashiria uzinduzi rasimi wa uwanja  uliopewa jina la Jenerali Davisi Mwamunyange  ambao utatumika kwa shughuli mabalimbali ikiwemo gwaride kulia ni Mkuu wa JKT Meja Jenerali Raphael Muhuga na kushoto ni Mkuu wa chuo cha JKT Mapinga Meja Aristides Rutta sherehe hizo ziliambatana na kutimiza miaka kumi ya kuanzishwa kwa chuo cha JKT Mapinga  kilichopo jijini Dar es salaam  Mkuu wa majeshi ya ulinzi Jenerali Devisi Mwamunyange akikagua gwaride h lililo andaliwa wakati wa sherehe za kutimiza miaka kumi ya kuanzishwa chuo cha jkt Mapinga kilichopo jijini Dar es salaam   Mkuu wa majeshi ya ulinzi Jenerali  Devisi Mwamunyange akiwa anangalia bwawa lakufugia samaki ambalo limejengwa na chuo cha jkt mapinga jenerali Mwamunyange alikuwa mgeni rasimi katika kuadhimisha miaka kumi ya kuanzishwa kwa chuo cha jkt mapinga  Jengo la utawala la  chuo cha JKT Mapinga  kilichopo jijini Dar es

ANGALIA PICHA SAFARI YA MWISHO YA MWANAFUNZI DANIEL LEMA ALIYECHOMWA MOTO KWA KUTUMIWA KUWA MWIZI

Image
Mwili wa Daniel Lema ukiagwa na baadhi ya wanachuo pamoja na raia waliojitokeza kuhudhuria ibada ya kuuaga mwili wa marehemu mapema asubuhi ya leo katika hospitali ya rufaa mkoani iringa. Mwanafunzi (LEMA) aliyejeruhiwa kwa moto   Baadhi ya raia walijitokeza kumuaga Lema katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya rufaa mkoani Iringa. LEMA Aliyekua akisoma mwaka wa 4 kozi ya sheria katika chuo kikuu kishiriki cha Mt.Augustino Tawi la Iringa (Ruaha University College-RUCO), mwanzoni mwa wiki hii ameshambuliwa kwa kuunguzwa na moto akidhaniwa ni mwizi. Mnamo tarehe 24.06.2014 mwanafunzi huyo alikua ametoka kuangalia michuano ya kombe la dunia na akiwa amelewa akawa anatafuta chakula cha jioni na ilikua majira ya saa 5 Usiku, Mwanafunzi huyo aliingia kwenye mgahawa ambao biashara ilikua imefungwa kwa muda huo lakini ndani kulikuwapo na binti ambaye alianza kupiga kelele kwa kudhani alikua mwizi. Na kwakua eneo