Posts

ANGALIA PICHA JINSI WANAFUNZI WA ST ANE MARIE WALIVYOHARIBU MALI ZA SHULE YAO

Image
 Mkuu wa Wilaya ya Kinoniondoni, Jordan Rugimbana akikagua chumba cha kompyuta ambacho kumefanyika uharibifu mkubwa na kuharibu kompyuta za mezani 40 na kompyuta mpakato 16 hazijulikani zilipo baada ya wanafunzi kuvamia maeneo mbalimbali ya shule hiyo alfajiri ya kuamkia leo majira ya saa nane usiku na kufanya uiharibifu hio na kuvunja vinja vioo vya majengo na magari. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (kushoto) akiwa pamoja na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camilius Wambura wakikagua uharibifu uliofanywa na wanafunzi wa Shule ya sekondari ya St. Anne Marie iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam leo.  Mabasi ya shule na magari mengine yapatayo 17 yamevinjwa vioo na kuharibiwa vibaya.  Maisha ya sasa ni ya sayansi na teknolojia na hii ndio moja ya maabara ya teknolojia hiyo ambayo imeharibiwa vibaya na wanafunzi hao.  DC wa Kinondoni akizungumza na walimu wa shule na viongozi wa shule hiyo.  Walimu wakimsi

ETI WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA WANA AKILI ZAIDI KULIKO WENGINE !!!.

Image
  Kwa mujibu wa uchunguzi wa somo moja la Chuo cha Oxford University, ambao hivi karibuni umekuwa ukizungumziwa kwenye habari, kwamba "wanawake wenye makalio makubwa huwa wana akili." Mwanamke mmoja aitwaye Annie Bryan anajichukulia yeye binafsi kama mfano wa juu ya hilo. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 19 makalio yake yana ukubwa wa wastani wa gredi 3.8 na anaamini kwamba ukubwa wa makalio yake ni msingi mkubwa kwake. Japokuwa, mwanamke huyo bado moja kwa moja haamini somo hilo, kwamba makalio yake yanahusika na uwezo wake kiakili zaidi ya kuona umuhimu wake kwenye maisha yake. Somo hilo linajaribu kuunganisha uwezo wa mwanamke kufikiri kutokana na kitu kilichoitwa omega-3 fats ambacho husaidia kuunganisha ukuwaji wa akili ya mtu. Somo hilo pia limesema kuwa makalio makubwa yananasaidia kupunhguza uwezekano wa kupata matatizo ya moyo na kisukari.

HUYU NDIYE MTOTO ALIYEWASHANGAZA WANA SAYANSI DUNIANI KOTE

Image
Wanasayansi na madaktari nchini Urusi wamestaajabishwa na mtoto mwenye umri wa miezi tisa ambaye mwili wake umekuwa ukitoa maandishi katika lugha ya kiarabu yakinukuu vipande vya maneno katika Quran. Mtoto Ali Yakubov mwenye umri wa miezi tisa amepata umaarufu mkubwa na amekuwa gumzo dunia nzima baada ya taarifa za miujiza yake ambapo maneno tofauti tofauti ya kiarabu kuanza kutokea kwenye mwili wake. Maandishi ya kiarabu yanayonukuu aya za Quran yamekuwa yakitokea kwenye mikono yake, miguu na tumboni na kisha kutoweka baada ya siku kadhaa na kisha maandishi mengine ya kiarabu yanayonukuu vipande tofauti vya aya za Quran hujitokeza upya. Madaktari nchini Urusi hadi leo bado hawajui nini kinaendelea kwenye mwili wa mtoto huyo ambaye maandishi ya kwanza ya kiarabu yanayosema neno "Allah" yalijitokeza kwenye kidevu chake ndani ya wiki moja baada ya kuzaliwa.

KINANA AZURU NYUMBANI KWA MAREHEMU DK MGIMWA

Image
 Katibu Mkuuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Mama Mzazi wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, Consolata Mgovano, alipokwenda nyumbani kwa marehemu Mgimwa, Kijiji cha Magunga, jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, leo jioni. Wengine ni watoto wa marehemu Mgimwa, Stanisla Mgimwa, na Rozalina Mgimwa.  Kinana akizungumza na familia huyo ya marehemu Mgimwa. Wapili kushoto ni Johakim Mgimwa  Kinana akimuaga Mama Mgimwa baada ya mazungumzo  Kinana akiaga  Mmoja wa wanafamilia akilia Kinana alipotembelea familia hiyo ya Mgimwa  Nyumbani kwa marehemu Mgimwa Kinana akipokea saluti ya Kijana wa CCM, alipowasili Ifunda, Iringa Vijijini kabla ya safari ya kwenda nyumbani kwa marehemu Mgimwa. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msavatavangu: Picha na  theNkoromo Blog

MREMBO AJIPHOTOA PICHA ZA UTUPU LIVE ... NAMI NIMEZIBANDIKA KAMA ZILIVYO

Image
, AJI  Huyu binti inadaiwa ni binti wa mwanajeshi tena afisa mkubwa.Inadaiwa amejifotoa hizi picha za  za  uchi ili aweze kupata mabwana. Baada ya kugundua kuwa zimevuja ametoweka mjini

HIVI NDIVYO DEMU WAKO ANAVYOWEZA KUKUSABABISHIA UPUNGUFU WA NGUVU

Image
ZA KIUME Kesi ya wanaume kupungukiwa nguvu za kiume zimezidi kushika kasi, kiasi cha kufanya dawa za kuongeza nguvu hizo kuwa maarufu na zenye mahitaji makubwa katika jamii. Waganga wa kienyeji wamekuwa wakitumia dawa hizo kama tiba ya msingi ya kuwavutia wateja kwenye biashara zao. Hii inaonesha kuwa tatizo hili ni kubwa miongoni mwa wanaume wengi katika jamii yetu. Hata hivyo, utafiti unaonesha kwamba wengi kati ya wanaume waliowahi kutumia dawa za asili na zile za hospitali kuondokana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume hawakufanikiwa kupata tiba ya kudumu, matokeo yake wamegeuzwa kuwa watumwa wa kila wanapotaka kushiriki tendo lazima wabwie ‘kolezo’ la kuwasaidia kuamsha hisia zao. Kwa wanaume, ukosefu wa nguvu ni jambo linalouma na kuondoa kabisa ujasiri. Wengi kati yao wako tayari kutumia pesa na uwezo wao wote kuhakikisha kuwa heshima ya tendo la ndoa ikuwa katika miliki yao daima. Lakini, w

MSANII APIGWA DENDA LIVE

Image
Msanii wa maigizo na mwanamziki Bela Fasta aliyekuwa anaunda kundi la muziki wa Bongo fleva la Scopion girls lilokuwa na  memba watatu ambao ni Jack wa Chuz, Jini Kabula na Bela Fasta hivi majuzi kati aliamua kuachia picha mtandaoni akiwa analiwa DENDA na msanii aliyekuwa kundi la wanaume family Luten Karama ambaye inadaiwa wapo kwenye mapenzi mazito kupitiliza. Bela aliamua kufanya hivyo ili kuiambia jamii kuwa sasa yeye ni mpenzi wa mtu na hiki ndicho anachofaidi katika mapenzi yake. Tazama picha hizo hapa chini -swahilitz

ANGALIA PICHA ZA KUTISHA MTU MMOJA AJERUHIWA NA MAMBA HADI KUFA TANGA

Image
Inatisha sana ndugu msomaji, Amakweli mamba ni hatari. Habari kamili bado inafatiliwa hivyo endelea kufatilia hapa katika Website yako iliochangamka mjini na kijijini   Baadhi ya wanakijiji wa Korogwe wakiushangaa mwiri wa mtu huyo ambaye jina lake halikuweza kutambulika kwa haraka. M/mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.

HIZI NDIZO NJIA NA NAMNA YA KUMFANYIA MUMEO AWAHI NYUMBANI!

Image
SIPENDI na wala sitaki kusikia kwani inamkoseshe raha mtoto wa mwenzio, kuku wako mwenyewe kwa nini akushikie manati. Kwa nini uishi na mumeo kama kaka yako? Sipendi na kama unatabia hizi ukome na ukomae. Ooh! Samahani hata salamu nimesahau kukujilieni hali wote wapenzi wa kona hii najua akina mama pekee hata kina baba kuna mtu mzima mmoja aliniambia akikosa kusoma kona hii hujisikia mgonjwa kwa vile amepata mengi kupitia hapa. Haya tuendelee na yetu hasa yaliyonifanya nifungue mdomo wangu. Kuna baadhi ya wanawake wenzangu wananiudhi sana kufikia hatua ya kukosa raha, unamuonea haya mumeo au mpenzio mkiwa ndani full khanga sipendi eeeh! Umesikia mwili wako mkiwa faragha si mali yako bali ya mwenzako. Unauficha una kasoro gani mwenzio anahitaji kuliona umbile lililomvutia likiwa na nguo ameliweka ndani ili alifaidi kwa kuliona live, wewe na mikhanga kutwa kucha hata kujipaka mafuta hujipaki mbele ya mwenzio. Mumeo amekuwa akihangaika kuutazama mwili wako

HIVI NI KWELI;MABINTI WA KIAFRIKA WANA MVUTO KULIKO WAKIZUNGU?

Image
Pengine huwa unajiuliza kwamba kwanini mzungu akivaa bikini na kutembea ufukweni mwa bahari hakuna anae shituka wala kupiga kelele, lakini binti wa ki afrika akivaa bikini na kutembea ufukweni au kupiga picha utasikia maneno mengi ya kumsifia, au kumsema kwamba yuko uchi.  Ajabu ni kwamba wale wale wanaompigia kelele binti wa kiafrika ndio wasioshituka wamuonapo binti wa kizungu. Je, unajua kinachosababisha utata huu? Tatizo sio utamaduni, mila au mazoea. Ukweli ni kwamba wanaume wengi wa kiafrika huvutika zaidi wanapomuona binti wa kibantu kuliko mzungu.  Hali hii inasababishwa na mazoea ya wanaume wengi wa ki afrika kuwa na mahusiano (s*x) na wasichana wa kwao (wabantu) na hivyo kuufanya ubongo kuvutika zaidi na rangi au maumbile ya aina fulani.  Ndio maana mwanaume anaejenga uhusiano na msichana mwembamba, si ajabu akatafuta msichana mwingine mwenye umbile linalofanana na hilo endapo kama ataachana na huyo aliyenae. Ukweli huu

HII NDIO USABABISHA WASICHANA KUANZA KUTAMANIANA NA KUSAGANA , TAZAMA PICHA HIZI HAPA WANAVOBAMBIANA KIMAHABA

Image
Yani ni katika Bonge la patiiiiiiiii...

MWANAMKE AFUMWA AKIFANYA MAPENZI NA MBWA

Image
  Hii hapa ni stori ya kweli inayomuhusisha msichana mmoja Mcameroon aliyefahamika kwa jina Elvire Axelle Tchamakoua. NA HIVI NDIVYO ILIVYOTOKEA; Axelle ni kahaba ambaye alikuwa akiuzwa kwa wanaume tofauti tofauti na ambaye awali aliamini ndiyo kila kitu kwake jamaa aliyefahamika kwa jina la Jean Claude (Mfanyabiashara wa Kifaransa). Hakujali kuwahudumia wateja wake kwa huduma za mbele au nyuma. Kwake yeye matumizi ya condom akiwa kazini ilikuwa haijalishi kwa maana iliwezesha yeye na huyo mwanaume wake kuwa wanaingiza hela zaidi. Amekuwa akifanya kazi hii kwa kitambo mpaka akawa ameizoea hali hiyo. Kitu cha kushangaza ni kwamba, Exelle ni msichana mdogo mwenye umri wa miaka 24 na ana cheti cha mafunzo ya mapambo na urembo. Iweje msichana mdogo kwenye umri wake awe na tamaa ya kupata hela za haraka? Ni swali ambalo watu wengi wamekuwa wakiuliza.MAKUBWA HAYA BLOG Kwa mujibu wa taarifa alikutana na huyo bosi wake, Jean Claude kwenye mtandao mnamo mwezi Oktoba 2011. Wa

HIVI JAMANI DADA ZETU MTAACHA LIN HUU MCHEZO?? HUYU NAE AANIKA PICHA ZA UTUPU MTANDAONI TAZAMA PICHA HAPA!!

Image
bongo inazidi kuchafuka kwa matukio machafu hasa ya kupiga picha za utupu na kuzisambaza mtandaoni badilikeni jamani