Posts

Tukio Lisilo la Kawaida MALAIKA Aanguka Nchini UINGEREZA..Watu Wamiminika Kushuhudia

Image
Tukio lisilo la kawaida limetoa huko Uingereza.... MALAIKA aanguka nchini UINGEREZA na kuifadhiwa sehemu maalum ambapo watu wameanza kumiminika kwenda kumshuhudia

BREAKING NEWZZZZ...DR. MAGUFULI AANDIKA UJUMBE HUU MZITO SASA HIVI MTANDAONI, AMA KWELI KAZI IPO SI MCHEZO

Image

RAIS GLOBAL PEACE FOUNDATION TANZANIA DR. SALEM ABDULLA ALIPOAGANA NA MARAIS NA MAWAZIRI WA NCHI 20 ZA DUNIA LEO ASUBUHI ZANZIBAR LIVE!

Image
 Mkutano huu ulihudhuriwa  na nchi 20.na mabalozi.marais.wabunge. viongozi wa dini mbali mbali.  Dr. Salem Abdulla rais wa Global Peace Foundation Tanzania leo asubuhi baada ya kukifunga rasmi kikao cha semina kilichofanyika Zanzibar kilichowakutanisha Marais wa sasa na wa zamani wa Nchi kadhaa za KiAfrika na pia Viongozi wa Dini.              semina ilihudhuriwa kwa muda mchache na mgombea Urais mteule wa CCM Dr. Magufuli ambaye alipitia hapo kumuona rafiki yake wa karibu sana Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Bw. Raila Odinga

BREAKING NEWS : LOWASSA ATAJA SIKU RASMI YA KUAMIA CHADEMA

Image
Zipo tetesi kwamba Edward Lowasa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari Jumapili tarehe 26 Julai 2015 Jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo, Lowasa anatarajiwa kueleza mambo mengi juu ya mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM uliopelekea jina lake kukatwa. Pia katika mkutano huo, Lowasa anatarajiwa kutangaza rasmi kujivua uanachama wake ndani ya CCM na kujiunga na CHADEMA ambapo baadaye jioni ataelekea viwanja vya Mwembeyanga ambako ataungana na viongozi wengine wa CHADEMA kwenye mkutano wa hadharaza. Mtakumbuka kuwa uwanja huo wa Mwembeyanga uliopo Temeke Dar es Salaam ulitumika kutaja orodha ya mafisadi 11 na Katibu Mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa mwaka 2007 ambapo jina la Lowasa lilikuwa miongoni mwa majina yaliyopo kwenye orodha hiyo. Uamuzi wa Lowasa kwenda CHADEMA umetokana na kutimiza makubaliano ya kupeleka shilingi bilioni 10 ambapo fedha hizo zimekabidhiwa Jana Alhamis Tarehe 23 Ju

ANGALIA MAPOKEZI YA OBAMA ALIVYOTUA KENYA

Image
On July 24 2015 The President of United States of America Barack Obama touched down in Kenya at Jomo Kenyatta International Airport, each and every moment was aired live in K24 Tv. Below are some of the pictures of what happened at the airport.

VERA SADIKA ATIKISA MITANDAO YA KIJAMII NI BALAAA

Image
  VERA SIDIKA is still a hot goddess….. The guy behind the camera must be the luckiest man alive        BONYEZA HAPA KUONA VIDEO YAKE AKIWA MTUPU

BONGO MOVIE HAKUKALIKI SASA BAADA YA WEMA KUBWAGWA UNAJUA KILICHOMKUTA UWOYA?

Image

ZITTO KABWE ATOBOA SIRI NZITO KUHUSU UKAWA NA EDWARD LOWASA.

Image
Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Liongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo ameandika ujumbe Mzito Kupitia Ukarasa leo Kuhusu Siasa za Tanzania Hasa Kipindi Hiki Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge Na Madiwani Zitto Kabwe 2 hrs · Wiki ya kuanzia Jumatatu tarehe 27 Julai 2015 itashuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye siasa za Tanzania. Kuimarika kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ni jambo jema kwa Nchi yetu.

BREAKING NEWS : WEMA ATIKISA UCHAGUZI WA CCM SINGIDA LEO

Image
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepetu Ametikisa Uchaguzi huo Leo.Wema Sepetu amekuwa Gumzo wakati Akiwasili Katika Uchaguzi Huo Leo na Kuteka Wajumbe wote walioudhuria Uchaguzi huo wakitaka Kusalimiana nae Pamoja na Kupiga nae Picha. Hali Hiyo ilijitokeza wakati Mgombea Huyo Alipowasili kwenye ukumbi wa Mkutano Tayari kwa uchagguzi endelea Kuwa Nasi kwa Matokeo ya uchaguzi huo, Chini Kabis BOFYA KUONA PICHA ZAIDI WEMA ALIVYOWASILI BOFYA HAPA KUONA VIDEO WEMA SEPETU ALIVYOWASILI NA KUZUA GUMZO KWA WAJUMBE WA UCHAGUZI

MASTAA WAMLIZA KAJALA USIKU

Image
Kajala Masanja akibugujikwa na machozi baada ya kufanyiwa sapraizi hiyo. Machozi ya furaha! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzikati alijikuta akiangua kilio baada ya kufanyiwa ‘sapraizi’ na mastaa wenzake katika siku yake ya kuzaliwa. Tukio hilo lilichukua nafasi usiku wa Julai 22, mwaka huu nyumbani kwake Sinza Afrikasana jijini Dar ambapo akiwa hana hili wala lile, mastaa hao akiwemo Jacob Steven ‘JB’, Jennifer Kyaka ‘Odama’, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, Nuh Mziwanda, Leah Richard ‘Lamata’ na wengineo walifika nyumbani hapo mida ya saa 6 usiku kisha wakajibanza nje.  BOFYA KWA PICHA ZAID I

HAKIKA MUZIKI UNALIPA TAZAMA PICHA YA JUMBA LA MSANII LINAH,HONGERA KWA HATUA

Image

Hii ndio Mishahara ya Marais wa Afrika,Rais Kikwete aongoza Afrika ya Mashariki

Image
Chadian President Idriss Deby Itno (L) with President Ali Bongo Ondimba Gabon (R) and Cameroon's Paul Biya (C) on April 3, 2014 at the EU headquarters in Brussels. Salaries of some of the best paid African leaders have been revealed. FILE | NATION MEDIA GROUP When Nigeria's President Muhammadu Buhari recently announced that he and his deputy would take a pay cut, it was not entirely surprising for a man known for his austerity, and who faces a challenge cutting back the excess in the country's finances. But President Buhari is not the first African leader to announce a pay-cut. In fact, it is a popular recourse for others trying to shore up their popularity, or facing tough economic times. In Kenya, President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto last year announced a voluntary 20 per cent salary cut and invited other top government officials to follow suit. A few did, reluctantly. In Tunisia, former President Moncef Marzouki, then facing a

RAIS JAKAYA KIKWETE KUWA MGENI RASMI KUMBUKUMBU YA MASHUJAA

Image
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Saidi Meck Sadiki akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa zitakazofanyika kitaifa katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.Bw. Sadiki amefafanua kuwa shughuli zote katika viwanja vya Mnazi Mmoja zitaanza saa mbili Asubuhi na kumalizika saa sita mchana, pia wananchi watakaohudhuria kumbukumbu hiyo watapata fursa ya kushuhudia matukio yatakayokuwa yananendelea uwanjani hapo kupitia Luninga kubwa zitakazokuwepo katika maeneo yote muhimu ya uwanja. Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa katika mazoezi katika viwanja vya Mnazi Mmoja leo jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mwisho ya sherehe za Kumbukumbu ya Mashujaa.Picha na Aron Msigwa. RAIS JAKAYA KIKWETE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA! Na.Aron Msigwa - MAELEZO. 23/7/2015. Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Kikw