Posts

BREAKING NEWSS::MADEREVA WA BODA BODA NA BAJAJ WAANDAMANA MPAKA OFISI ZA CHADEMA KINONDONI,WAKIPINGA KUZUIWA KUINGIA MJINI

Image
 Madereva Bajaj wakiwa nje ya ofisi za chadema makao makuu kinondoni wakipinga tamko la kuzuiwa kuingia kati kati ya mji na maeneo ya mjini.  Mmoja wa Madereva Bajaj Akiongea na vyombo vya habari mda huu makao makuu ya chadema kinondoni. Polisi wakiwa wamefika eneo la tukio mda huu ili kuweza kuweka hali ya usalama na kuzuia vurugu  Waendesha bodaboda na bajaj jijini dar mda huu wameandamana mpaka Ofisi za chadema makao makuu kinondoni,Nia ya maandamano yao hayo ni kupinga tamko linalowataka kutopeleka abiria maeneo yote ya kati kati ya jiji la dar.Mmoja wa madereva hao akiongea na mtandao wetu anasema kwamba wameamua kuandamana mpaka ofisi za chadema kwa kuwa wanaamini ndio watapata msaada.Taarifa kamili na picha zaidi zitakujia inakujia hivi punde.HABARI NA DJ SEK BLOG

LULU APASUA JIPU KUWA ANA HAMU YA ....

Image
  STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kama siku yoyote atapata ujauzito kwa bahati mbaya, hatafanya kosa tena, atazaa tu. Katika mahojiano maalum na gazeti hili juzikati, Lulu alisema kwa sasa yuko tayari kuolewa ili awe na familia yake ila si kwa sharti la mwanaume husika kumwambia amzalie kisha ndiyo amuoe. Elizabeth Michael ‘Lulu’. Ijumaa : Kwani kwa sasa si una mpenzi?  Lulu : Ndiyo ila bado sijapanga swala la kufunga naye ndoa.    Ijumaa: Kwa hiyo umesema ukipata mimba kwa bahati mbaya hutofanya misteki lazima uzae, unaweza kuniambia ni misteki gani?   Lulu : Nadhani maswali yako uliyoniuliza nimekujibu kiufasaha kabisa hilo siwezi kulijibu. Ijumaa linahisi kosa ambalo Lulu hatalirudia tena ni la kutoa mimba, kitu ambacho hataki kukizungumzia.

VIDEO YA....... " LECTURE NA DENTI WAKE" YAVUJA ... IONE HAPA

Image
Kwa mujibu wa chanzo chetu, mwanafunzi wa kike wa Ghana ambaye inasadikika kuwa anasoma chuo kikuu cha kisiasa maarufu nchini humo,alituma video chafu mitandaoni ambayo inamuonesha yeye na mwalimu wake wakila raha za dunia. Chanzo chetu kinasema, binti huyo ambaye amekuwa gumzo chuoni hapo, ni maarufu sana kwa kuwa wanaume lukuki ambao amekuwa akifanya nao mapenzi kwa kuwabadilisha kama karanga za kuonja!!!! Chanzo kiliongeza, Japokuwa mwalimu huyo hakuona tatizo kwa hiyo video waliojirekodi, hakudhani wala kutegemea kama ingevuja kwa kuwa dada huyo alimuahidi haitavuja ila ni kwaajili ya kuiangalia wao wenyewe wanapojisikia.Badala yake ni adha tupu kwa mwalimu huyo. Kujirekodi na kuvujisha video za ngono imekua ni kawaida sasa kwa jamii za kiafrika kwa ujinga wa kutafuta umaarufu wa haraka. Je, tutegemee nini kwa vizazi vyetu baada ya muda mfupi ujao…???? Tabia mbaya…….acheni. ONYO! HII NI KWA WENYE UMRI WA MIAKA (18+) TU ANGALIZO: VIDEO HIZI NI KWA WENYE MIAKA KUA

Mjamzito Ajifungua Akiwa Ndani ya Choo cha Gesti Huko Songea

Image
MKAZI wa kitongoji cha Sogea katika Mji mdogo wa Tunduma wilayani Momba, Pendo Lyala (18) amejifungua mtoto katika choo cha nyumba ya kulala wageni. Pendo alijifungua Machi 10 mwaka huu saa 4:00 katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Kiswahili , iliyopo nyuma ya Shule ya Msingi Mwaka, mkabala na barabara kuu iendayo Sumbawanga mkoani Rukwa. Mmoja wa wahudumu wa nyumba hiyo ya kulala wageni aliyekuwa zamu, Tresia Albeto, alidai msichana huyo aliingia usiku huo na mpenzi wake aliyejiandikisha kitabuni kwa jina la Fred Gamba, mkazi wa Njombe, ambaye alikuwa amechukua chumba namba tano. Tresia alidai mara baada ya kuoneshwa chumba hicho, Gamba alitoka nje na kuingia katika chumba hicho mara tatu katika nyakati tofauti, akiwa anamuacha mpenzi wake ndani na kuna wakati aliingia akiwa na mfuko wa plastiki (Rambo) uliokuwa na chipsi na soda. Mhudumu huyo alisema baada ya Gamba kutoka mara ya mwisho na kwenda nje, ilisikika sauti ya kike ikiomba msaada, jambo lililomsuku

TAZAMA ZA PICHA ZA VIONGOZI WETU WA WAKUU WA JWTZ WOTE WA TANGU TANZANIA ILIPOPATA UHURU

Image
YUPI ULIYEMKUBALI SANA KATIKA UTENDAJI HATA KAMA UKUMUONA JAPO KUNA HISTORIA ZAO. TUPE MAONI YAKO.

RIDHIWANI ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE CHALINZE

Image
    MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Ridhiwani Kikwete leo amerudisha fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi, a kisindikizwa na washindani wake katika kura za maoni, Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhan Maneno pamoja na Imani Madega.    Mgombea  Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Ridhiwani Kikwete akiwa ameambatana na    washindani wake katika kura za maoni, Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhan Maneno pamoja na Imani Madega wakifurahia jambo.   Mgombea  Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Ridhiwani Kikwete akiwa ameambatana na    washindani wake katika kura za maoni, Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhan Maneno pamoja na Imani Madega na wadau wengine akielekea kurejesha fomu.  Baadhi ya Wanahabari wakishuhudia tukio la Urudishwaji fomu wa Mgombea  Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi mapema

WIZARA YA AFYA YAMWAGA AJIRA KWA WATUMISHI 27,795 KWA MWAKA 2005/2013

Image
Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Nsachris Mwamwaja akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu Mpango wa Maendeleo ya Afya ya Msingi(MMAM).Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Frank Mvungi. Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Nsachris Mwamwaja (katikati) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu Mpango wa Maendeleo ya Afya ya Msingi(MMAM).Kushoto ni Afisa Ustawi Mwandamizi Mkuu kutoka kutoka Wizara hiyo, Josephine Lyengi na Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Frank Mvungi. Picha zote na Georgina Misama-MAELEZO ………………………………………………………………. Na Frank Mvungi WIZARA ya Afya na Ustawi wa jamii imefanikiwa kuajiri watumishi 27,795 katika kipindi cha mwaka 2005/2013. Hayo yamesemwa na Msemaji wa Wizara hiyo Bw. Nsachris wakati  wa mkutano na vyombo vya habari leo jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mafanilkio ya mpango wa maendeleo ya Afya ya msingi (MMAM) Mwamaja amebainisha kuwa lengo kuu la mp

BEAKING NEWZ:"HATARI: VURUGU ZATOKEA ZANZIBAR, MAGARI YA SERIKALI YAPIGWA MAWE"

Image
Kwa mujibunnwa taarifa za mitandaoni huko Zanzibar kumetokea vurugu,kupiga mawe magari ya serikali huku wafanyakazi wa serikali wakijeruhiwa ..  Picha hapo juu inaonesha gari la Katibu mkuu wizara ya fedha na uchumi mheshimiwa Khamis Musa likiwa limepinduliwa, katika gari hakuwemo katibu huyo mkuu bali  alikuwemo dereva wake ambaye mpaka sasa hali yake inaendelea vizuri, Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi.  Habari zaidi za matukio na picha zingine zaidi tutaendelea kuwaletea kama mwandishi wetu atakavyotujuza, endelea kujiunga nasi zaidi.

PINGAMIZI DHIDI YA MGOMBEA WA CHADEMA CHALINZE

Mimi  FABIAN L. SKAUKI, mgombea ubunge wa uchaguzi mdogo jimbo la CHALINZE kwa Ticket ya THE CIVIC UNITED FRONT (CUF) ninamwekea Pingamizi mgombea wa chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  kwamba amepoteza sifa za kuwa mgombea kwa sababu zifuatazo. 1.       Ndugu MATHAYO. M. TORONGEY amejaza Taarifa za uongo kwenye Fomu yake kwamba kazi anayoifanya ni BIASHARA. Sio kweli, kwa sababu hajaweka vielelezo vya yeye kufanya hiyo kazi. Hajulikani anafanya kazi gani. 2.       Ndugu MATHAYO .M. TORONGEY amejaza  katika fomu kwamba anajua kusoma na kuandika Kiswahili na kiingereza. Taarifa hizi ni za uongo, mgombea huyu hajui kusoma wala kuandika Kiswahili wala kiingereza, na kwamba amedanganya na amepoteza sifa za kuwa mgombea. 3.       Ndugu MATHAYO .M.TORONGEY  amedanganya kwa kughushi/kufoji sahihi za wadhamini,ambao amewaorodhesha kwenye fomu ya kuomba kuthibitishwa kuwa mgombea. Ambapo katika fomu hizo wadhamini wote sahihi zao zimefojiwa na hazifanani

MIMI NI NOUMA...KATIKA MAPENZI ATAKAYENIOA ATAFAIDI MAHANJUMATI..."MAYA AFUNGUKA..!

Image
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema licha ya kuwa bado hajaolewa lakini atakayemuoa atafaidi mapishi yake kwani ni fundi wa kupika. Mayasa Mrisho ‘Maya’.   Maya alifunguka hayo juzikati wakati paparazi wetu alipombananisha juu ya uwezo wake kwenye ‘sekta’ ya mahanjumati ndipo alipofunguka kuwa yeye ni hodari katika eneo hilo.   “Wee… mi noma katika mapishi, siwezi kuachika kwa sababu ya kushindwa kupika, atakayenioa atafaidi mahanjumati ya ukweli kabisa, chezea mimi wewe!” alijisifia Maya.

WEMA NA AUNT EZEKIEL WACHEZEA KICHAPO CHA NGUVU...KISA?!!

Image
KIMEWAKA! Habari zilizothibitishwa zinaeleza kuwa, sura mbili za mauzo kwenye sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kula kichapo kutoka kwa msanii mwenzao, Adam Kuambiana, Amani limeinyaka. Tukio hilo lililoshuhudiwa na ‘shushushu’ wetu lilijiri mchana kweupe maeneo ya Mikocheni, Dar, hivi karibuni baada ya kuibuka timbwili lenye ujazo wa kilo kadhaa baina ya mastaa hao.   ALIANZA WEMA Kwa mujibu wa chanzo, Wema ndiye aliyeanza kummwagia Kuambiana maneno ya shombo akimwambia kuwa ahakikishe siku hiyo haipiti bila kukata kucha za miguuni kwani ni ndefu na zinatisha. “Mwanzoni ilikuwa kama utani tu. Wema alimwambia Kuambiana akate kucha, tena itabidi atumie mkasi wa kukatia michongoma maana kwa wembe hazikatiki.   “Pia Wema alimwambia yeye hawezi kumwacha mpenzi wake na kucha ndefu kama hizo za Kuambiana,” kilisema chanzo chetu. Ilizidi kudaiwa kwamba wakati Wema akiendelea ‘kumpaka’ Kuambiana, Aunt aliyekuwa amejilaza chini alida

ANGALIA PICHA UKATILI DHIDI YA WATOTO BADO NI TISHIO MBEYA

Image
 Mtoto Anjela Rashid[4]amechomwa moto mikono yote miwili  na baba yake mzazi baada ya kula finyango mbili za nyama zilizopikwa na Baba yake huyo John Msumba[3]ambaye amekuwa akipigwa mara kwa mara na wakati wote kufungiwa ndani kwa kufuli pia kunyimwa chakula na shangazi yake  ANGALIA PICA ZAIDI HAPA

MAAJABU YA DUNIA; HUYU NDIYE MCHINA ANAYEKULA NYAMA ZA WATOTO BINAADAMU!!

Image
  ANGALIA PICHA ZAIDI  

HIZI NDIZO DALILI 10 ZA MWANAUME ULIYE NAYE SI WAKO PEKE YAKO

Image
Wakati mwingine ni vigumu kuamini, lakini jambo hili huwatokea wanawake wengi kwamba wanaume wanaotoka nao kuna uwezekano mkubwa wakawa wanatoka na wanawake wengine kwa nyakati tofauti na hufanya hivyo kwa siri sana. Inaweza ikawa ni mitoko ya kawaida lakini miongoni mwa hao wanaotoka nao wapo ambao watakuwa wanashiriki tendo na wakawa wameahidiwa kuolewa. Hapa chini nitaeleza dalili zinazoweza kuwafanya wanawake kujua kwamba mwanaume anayetoka naye sio wakwake peke yake bali kuna wengine wanadanganywa huko waliko kama yeye. 1. Mnakuwa na ratiba ya kukutana siku maalum Baada ya kujuana unagundua kwamba bwana uliye naye anakuwa na kawaida ya kukutana na wewe kwa siku maalum tena anazopanga yeye, mwanaume anakuwa hana nafasi ya kushtukizwa miadi na akipanga ratiba yake hawezi kuibadilisha kirahisi. Anaweza kukupangia muwe mnakutana mara mbili kwa wiki na siku nyingine anasema yuko bize. Hapa inabidi ujiulize mara mbili. 2. Ugumu katika kukubali miadi: Kama inatokea

NILIMKANYA SANA BINTI KIZIWI KUHUSU ISSUE YA MADAWA YA KULEVYA ILA HAKUNISIKIA”…Z-ANTO

Image
Muimbaji wa muziki aliyewahi kuhit na wimbo wake ‘Binti Kiziwi’ Z-Anto amesema aliwahi kumkanya aliyekuwa mke wake, Sandra (msichana aliyeigiza kwenye video ya wimbo wake Binti Kiziwi), kuachana na makundi hatarishi aliyoanza kuwa nayo baada kupata umaarufu ambayo yalimfelisha kimaisha ikiwemo kufungwa jela nchini China baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya. “Alishindwa kujicontrol na maisha ya ustaa hiyo ndio ikawa shida, akapata kampani za ajabu ajabu,” Z-Anto alimwambia jana mtangazaji wa kipindi cha Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Willy M Tuva. Muimbaji huyo amekumbushia kuwa wiki moja kabla ya msichana huyo kusafiri kwenda China, ndio kipindi ilipotokea ajali ya Sharo Milionea, na kulikuwa na tetesi pia kuwa Sandra naye alipata ajali na kupoteza maisha na hivyo kumlazimu kufuatilia undani wake. “Mwisho wa siku kama siku tatu nikampata, akaniambia ‘mbona mimi niko fresh’, nikamuuliza ‘mbona nimesikia umepata ajali’ akasema ‘hapana mimi niko sawa

HAYA NDIO MAMBO NANE(8) AMBAYO HUTAKIWI KUYASEMA KWENYE VIKAO

Image
Kama unaingia kwenye kikao, unatakiwa uonyeshe uwezo wako wa kuchangia ili mambo yaende vizuri na kuwa bora zaidi, usiongee vitu vya kukatisha tamaa au visivyokua na tija. 1. Ngoja nikupe rejea kuhusu jambo hilo.. . Rejea sio jambo baya kama ni nzuri na imefanywa vizuri inasaida kundi kupata suluhisho la jambo fulani, lakini wakati mwingi mtu akisema anataka kutoa rejea ya kitu fulani ni kujaribu kutupilia mbali maswali, kama hauko tayari kutoa suluhisho ya jambo fulani ruhusu mazungumzo yaendelee mbele na rejea hiyo kaa nayo mwenyewe. 2. Nimeshatuma Barua Pepe Mazungumzo ya Uso kwa Uso hayatakuwa na maana kama ukisema umeshatuma barua pepe na kila mmoja akasome. Badala yake ongelea kwa muhtasari suala hilo ili kila mmoja ajue ni kitu gani kinaendelea. 3. Hilo si jambo la msingi sana. Maneno kama hayo hutokea mara nyingi, ukisema jambo si la msingi, kwanini? Hata kama jambo linaloletwa mezani si la wakati huo haimaanishi lisichuKUliwe u