Posts

MEZA YA MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 04.12.2013

Image
MAGAZETI YA UDAKU . . MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI  

JE! NI KWELIWANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA HAWANA UELEWA WA MAMBO IWE SHULE,OFISINI NA HATA KATIKA MAISHA YA KAWAIDA,KWELI?

Image
 Huyu dada kwa kumtazama tu kwanza alivyokaa comfidence yake ipo nyuma yake,haonekani kama anazingatia changamoto zilizopo mbele yake ana chojali ni hicho kilichopo nyuma... Mimi kiukweli sijui hili kiundani ila watu walikuwa wanabishana ofisini kwamba Wanawake wenye makalio makubwaaa hawana uelewa wa mambo.Kuna makalio makubwaaa,ya katikati na ya kawaida...ila wale wenye makalio makubwa...inasemekana wanajiamini sana kiasi kwamba wanakuwa hawajipi nafasi ya kusoma,kudadisi na kujua mambo mapya na yanayoendelea duniani...wanajiamini tu na makalio yao...eti ni kweli?????samahani kwa nitakae mkera ila nataka tu kujua.... TUPIA MAONI YAKO HAPA, NDUGU MSOMAJI? NA USISAHAU KULIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK

HIZI NDIZO SABABU ZINAZOSABABISHA MWANAUME KUKIMBIWA NA WANAWAKE...!

Image
  1. Wakikosa attention yako.  Wasichana hupenda pale wanapofahamu kuwa unawasikiliza na unafahamu nini wao wanahitaji. Kama kutakosekana mawasiliano mazuri na atagundua hilo atauona uhusiano huo haumtimilizii haja zake. Hata kama kila kitu kinaenda sawa. Msikilize anapoongea. Kama akiona hapati penzi analolihitaji atatafuta mwingine ambaye yupo tayari kumtimizia. 2. Kumuheshimu.  Msichana huwa anajitoa sana awapo katika mahusiano hivyo anategemea mvulana uheshimu hata kwa chochote kidogo anachokufanyia. Mfanye agundue kuwa umeheshimu kile ambacho amekufanyia. 3. Usaliti.  Unaposaliti inamaanisha kuna kitu hakipo sawa katika mahusiano yako hata kama una uwezo wa kushughulikia lakini wewe unaona njia sahihi ni kutoka nje kuwa na mahusiano na msichana mwingine ukidhani ndio unarekebisha. Pale msichana wako akikukamata unamsaliti fahamu hawezi kuvumilia naye atakuacha. 4. Ukosefu wa hisia za kimapenzi.  Msichana hupenda kuona kuwa wanapendwa wanathaminwa na

KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA MTOTO AMFUMANIA MAMA YAKE AKIJIUZA JIJINI DAR...! PICHA ZA TUKIO HIZI HAPA

Image
Na Issa Mnally na Richard Bukosi SHABAASH! Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Hamis mkazi wa Tandale jijini Dar, hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kumfuma mama yake mdogo akijiuza usiku. Tukio hilo la kufedhehesha lilitokea usiku wa kuamkia juzi (Jumatano) maeneo ya Sinza Mapambano ambapo mapaparazi wetu walikuwa katika operesheni ya kuwasaka wanawake wanaojihusisha na biashara hiyo haramu. Wakiwa maeneo hayo, waandishi wetu walimuona kijana mmoja akiwa amejiinamia baada ya kumfuata na kumhoji kilichompata, alidai kuwa alipewa taarifa juu ya mzazi wake huyo aliyemtaja kwa jina la mama Husna kujiuza na siku hiyo alimuona akiwa kwenye mawindo. “Jamani niacheni maana nilichoshuhudia kimeniumiza sana…mama yangu anafikia hatua ya kuja kijiuza huku?...amekosa nini…au ni huu ugumu wa maisha dah…?” Alisikika kijana huyo aliyekuwa akilia. Katika kuthibitisha kile anachokizungumza, Hamis aliwaonesha waandishi wetu kundi la wanawake waliokuwa ‘so

RAIS KIKWETE AMTEUA DR. ASHA-ROSE MIGIRO KUWA MBUNGE

Image
Dr. Asha-Rose Migiro. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge. Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam leo, Jumanne, Desemba 3, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dr. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo umeanza jana, Desemba 2, 2013. Dr. Asha-Rose Migiro ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa katika Chama cha Mapinduzi. Imetolewa na: Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu. Dar es Salaam. 3 Desemba, 2013

HIZI NDIZO SABABU 10 ZA WANAWAKE KUTOKUOLEWA NA KUISHIIA KUSAGANA TU..!!!!

Image
Pamoja na kuwa kuna wanawake husita kuolewa, lakini jambo hili si kubwa sana kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume. Kwa kiasi kikubwa katika suala la kutaka kuingia ndani ya ndoa, wanawake ni wengi ambao hutaka kufunga ndoa kuliko ilivyo kwa wanaume. Hilo tunaliona wazi tokana na shamra shamra awazo nazo mwanamke wakati wa maandalizi ya shughuli za Ndoa na Harusi. Hata hivyo, kwa wale wanawake wachache ambao husuasua kuolewa hizi ni baadhi ya sababu zinazopelekea kusuasua huko. (Izingatiwe hii ni kwa wanawake ambao hawajawahi kuolewa kabisa) . Vigezo vilivyopitiliza viwango (hasa kwa muonekano) Wanawake wengi hasa wa umri mdogo (lakini unatosha kuolewa) hutumia muda mwingi katika kuchagua aina ya mwanaume ambaye angependa awe mume wake.Wanawake hawa hujiamini zaidi na kusimamia sifa zile ambazo huamini ni muhimu mwanaume wa kumuoa awe nazo. Vigezo hivyo huwa hata kwa misingi ya muonekano wa mwanaume huyo – kuna wale ambao hutaka mwanaume huyo wa kumuoa awe na sifa kama

WAKUTWA WATUPU KWENYE GARI MARA BAADA YA KUVUNJA AMRI YA SITA KUPITILIZA

Image
PICHA AMBAYO AIKUZIBWA IPO HAPO CHINI  NI KWA WENYE UMRI WA

ANGALIA PICHA KOCHA MPYA WA SIMBA "LOGARUSIC" AKISAINI MKATABA WA KUIFUNDISHA KLABU HIYO

Image
 LOGARUSIC akisaini mkataba mbele ya Mwenyekiti wa kamati ya usajili,Zacharia Hans Poppe.CHANZO SHAFFIH DAUDA

MSANII TIMBULO ANASWA AKIFANYA UCHAFU HADHARANI BILA AIBU...MTAZAME HAPA, NI LAANA TUPU...

Image
      Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya(bongo flava) Ally Timbulo (Timbulo) amefumwa akifanya MAPENZI na chipukizi wa filamu Isabela Francis,tukio hili lilitokea juzi usiku wa manane maeneo ya Ilala. tazama picha wakiwa kwenye mahaba mazito!!!!

KOCHA MPYA WA AZAM FC JOSEPH OMOG AKUTANA NA TIMU

Image
 Kocha mpya wa Azam FC akiwa na msaidizi wake Kali Ongalla.  . ....Akizungumza na wachezaji... Picha kwa hisani ya AZAM FC.

LOWASSA ACHANGISHA MILIONI 103/- MASASI

Image
Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Mtandi Masasi, Oscar Mnung'u akisalimu waumini. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia waumini wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi wakati akiwasili  kuendesha harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la dayosisi hiyo, juzi. Jumla ya Sh103 milioni zilichangishwa katika harambee hiyo. Na Mpigapicha Wetu Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akizungumza kabla ya kuongoza harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Anglikana Dayosisi Mtandi Masasi, mkoani Mtwara jana. Jumla y Sh103 milioni zilichangishwa kwenye harambee hiyo. Kushoto ni Askofu wa Dayosisi ya Newala, Patrick Mwanachiko na Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Masasi, Oscar Mnung'u. Na Mpigapicha Wetu Mwimbaji wa nyimbo za injili, Rose Mhando akiimba katika Kanisa Kuu la Aglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi wakati wa harambee ya kuchangia maendeleo ya

TANZANIA YAZIDI KUPETA TUSKER PROJECT FAME

Image
  Mshiriki toka Tanzania anayetuwakilisha kwenye mashindano ya Tusker project fame amefanikiwa kusonga mbele kwa mara nyingine baada ya kuwa kikaangoni  yeye pamoja na washiriki wenzake wote ndani ya Tusker project fame.Waliotoka wiki hiii ni Phiona toka Rwanda na Kojjo kutoka Uganda.Hongera hisia Tanzania Gooooooooooooooooo Goooooooo

Taarifa ya kusimamishwa uongozi kwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilayani Monduli

Image
TAARIFA KWA UMMA Kwa niaba ya baraza la uongozi la mkoa wa Arusha, napenda kuujulisha umma wote kwa ujumla kuwa mwenyekiti wa wilaya ya monduli Mchungaji Amani Silanga Mollel amekoma/amesimamishwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya monduli kuanzia tarehe 29 Novemba 2013 kufuatia tuhuma nzito za uvunjifu wa kanuni za maadili ya chama.  Hatua hii imefikiwa baada ya kuthibitika na yeyé mwenyewe kukiri mbele ya kikao cha kamati tendaji ya wilaya ya monduli kilichoketi tarehe 29 Novemba 2013 saa NNE asubuhi kuwa alitoa tamko batili akitumia wadhifa wa mwenyekiti wa wilaya bila ridhaa ya kamati tendaji na huku akidanganya kuwa ni tamko kwa niaba ya wilaya ya monduli.  Katika tamko lake ametoa tuhuma dhidi ya wajumbe wa kamati kuu na viongozi wakuu wa kitaifa kwa maamuzi halali ya kikao cha kamati kuu huku akijua kuwa anavunja kanuni za chama kwa mujibu wa katiba ya chama toleo la mwaka

Mwigizaji PAUL WALKER wa Marekani afariki dunia kwenye ajali mbaya ya gari. Ni yule wa filamu Fast and Furious

Image
Muigizaji Paul Walker , anayejulikana  sana duniani kwenye uigizaji kupitia filamu za Fast and Furious , amefariki katika ajali ya gari. Ajali hiyo imetokea katika eneo la Santa Clarita, k askazini ya Los Angeles wakati alipokuwa katika tukio la kijamii. Walker alikuwa ni abiria katika gari aina ya  Porsche kwamba waliopotea kudhibiti na kugonga ama taa ya posta au mti kabla ya kupasuka ndani ya moto . Kifo muigizaji baadaye kilithibitisha  kwenye ukurasa wake wa Facebook  . Taarifa kwenye  ukurasa huo  zilisema:  " kwa moyo  mnzito kwamba tunapenda kuthibitisha kwamba Paulo Walker amefariki leo katika kutisha ajali ya gari wakati akienda kuhudhuria tukio upendo kwa shirika lake kuwasaidia watu duniani kote. "Yeye alikuwa ni abiria katika gari ya rafiki yake, ambayo wote walipoteza maisha yao . "Asante kwa ajili ya kuweka familia yake na marafiki katika maombi yako katika wakati huu mgumu sana . RIP Paul Walker

KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA CHUNYA AJIUNGA NA CCM

Image
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahmani Kinana akifafanua jambo wakati alipokuwa akiuliza swali alipokagua ujenzi wa barabara ya Mbeya Chunya yenye kilomita 36 inayogharimu kiasi cha shilingi bilioni 56 za kitanzania , Barabara hiyo inajengwa na kampuni ya kichina ya China Communication Construction Company, Kinana yuko katika ziara ya kikzani ya mikoa mitatu Ruvuma, Mbeya na Njombe akiongozana na Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi Ndugu Nape Nnauye na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa leo amemaliza ziara katika jimbo la Lupa na kesho anaendelea na ziara katika jombo la Songwe wilayani China, kulia ni Mh. Abbas Kandoro Mkuu wa mkoa wa Mbeya na katikati ni Dr. Asha Rose Migiro.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-LUPA-CHUNYA) Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahmani Kinana akipiga makofi wakati Braison Mwasimba aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha CHADEMA