RAIS DKT. KIKWETE AKAGUA MADARAJA YA KIJESHI

D92A2847D92A2857D92A2868D92A2877Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akikagua madaraja ya kijeshi yakiwemo yale ya kuelea juu ya maji wakati alipokagua zana za kijeshi jana, Jumatatu, Machi 2, mwaka huu, 2014. (Picha na Freddy Maro wa Ikulu).

Comments

Popular posts from this blog