ANGALIA PICHA ZA WATU WLIOJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MSANII IBRAHIMU PAZI MAARUFU POSA


   Kushoto ni Marehemu Ibrahim Mohammed Pazi ‘Posa’ akiwa na msanii mwenzake enzi za uhai wake.

    Mke wa Marehemu akifika msibani.
    Mtoto wa marehemu mwenye miezi miwili akiwa amebebwa.
    Sherry Maghari (kushoto) akilia kwa uchungu baada ya kukutana na ndugu wa marehemu ambaye alikuwa akiongozana naye hospitali.
Wasanii wakiomboleza nyumbani kwa babu wa marehemu Manzese Tiptop jijini Dar.
    Wasanii wa kike wakifanya kikao kwa ajili ya shughuli za msibani hapo.
   Sherry Maghari (wa pili kushoto) akiwa na simanzi. Sherry alimuuguza marehemu takribani mwezi mmoja.

MSANII wa komedi nchini, Ibrahim Mohammed Pazi ‘Posa’ ameaga dunia jana katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
Pichani juu ni baadhi ya taswira kutoka nyumbani kwa babu wa marehemu eneo la Manzese Tiptop jijini Dar es Salaam ulipo msiba.
(PICHA: HAMIDA HASSAN / GLADNESS MALLYA / GPL

Comments

Popular posts from this blog