Posts

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AENDA OFISINI KWAKE DODOMA KWA MGUU

Image
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  Novemba 21, 2016 asubuhi aliamua kutembea kwa mguu  kutoka makazi  yake yaliyopo Kilimani hadi Ofisini kwake   barabara ya Reli mjini Dodoma .  Pichani, Mheshimwa Majaliwa akilekea Ofisini kwake.  (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu).

WANAUME WAANZA KUHASIWA KENYA...150 WAMEJIANDIKISHA KUKATWA MIRIJA YA UZAZI

Image
Shughuli ya kufunga mirija ya uzazi kwa wanaume (vasectomy) imetangazwa moja kwa moja kutoka chumba cha upasuaji kutoka mjini Nairobi, Kenya kama njia ya kuhamasisha watu kuhusu njia hiyo ya kupanga uzazi .Takriban wanaume 150 walijiandisha kufanyiwa shughuli hiyo iliyochukua muda wa takriban dakika 20.Madaktari walifanya shughugli hiyo nyuma ya jukwaa lilifunikwa katik ukumbi wa sanaa mjini Nairobi.Wamaume nchini Kenya ambao mara nyingi wana hofu ya kufanyiwa zoezi hilo la kupanga uzazi mara nyingi uhofia kunyanyapaliwa.. Wale wanaoendesha kampeni ya zoeizi hilo wanasema kuwa ndiyo njia salama ya kupanga uzazi. "Wanaume wengi hudhani kuwa zoezi hilo humnadili mwananamme kuwa mwanamke," Jack Zhang ambaye ni daktari kutoka Canada aliiambia BBC. Baadhi ya wanaume wana hofu kuwa watu hufa kwa wingi barani Afrika kwa hivyo kuna haja ya kuzaa watoto wengi.Mwandishi wa BBC mjini Nairobi, anasema kuwa baadhi ya wanaume walishiriki zoezi hilo baada ya kuch

MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 21.11.2016

Image

Rais Magufuli Amteua Charles Kichere Kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA

Image
Rais Dk. John Pombe Magufuli leo amemteua Bw. Charles E. Kichere kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bw. Kichere ameteuliwa kuzaja nafasi iliyokuwa wazi kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Magari ya Mwalimu Nyerere Kivutio Kikubwa Makumbusho ya Taifa

Image
DAR ES SALAAM: NI kumbukumbuku na historia ya aina yake kwa taifa letu! Yale magari aliyokuwa akiyatumia Aliyekuwa Rais wa Awamu ya Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa nyakati tofauti wakati akiwa hai, yaliyopo kwenye Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Dalaam, yamefanywa kuwa kivutio kikubwa kwa watalii wa ndani, wa nje na kuwasaidia wanafunzi hapa nchini kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu historia ya nchi yetu. Wanafunzi wakitazama magari aliyokuwa akiyatumia Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambaragae Nyerere enzi za uhai wake. Gari aina ya Austin morris a 40 Austin morris a 40 Van Guard. Gari aina ya Mercedez Benz 230. Gari aina ya Mrolls Royce Phantom v2. Gari aina ya Rolls Royce 2 Mercedez Benz e 300 alilotumia hadi mwaka 1999 alipofariki dunia. Magari hayo yamepangwa kulingana na miaka ambayo Mwalimu Nyerere alikuwa akiyatumia, kuanzia wakati wa ukoloni, wakati anashika madaraka mwaka 1961 na wakat

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 19.11.2016

Image