Magari ya Mwalimu Nyerere Kivutio Kikubwa Makumbusho ya Taifa

1-001
DAR ES SALAAM: NI kumbukumbuku na historia ya aina yake kwa taifa letu! Yale magari aliyokuwa akiyatumia Aliyekuwa Rais wa Awamu ya Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa nyakati tofauti wakati akiwa hai, yaliyopo kwenye Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Dalaam, yamefanywa kuwa kivutio kikubwa kwa watalii wa ndani, wa nje na kuwasaidia wanafunzi hapa nchini kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu historia ya nchi yetu.
2-001Wanafunzi wakitazama magari aliyokuwa akiyatumia Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambaragae Nyerere enzi za uhai wake.
austin-morris-a-40Gari aina ya Austin morris a 40
austin-morris-a-40-van-guardAustin morris a 40 Van Guard.mercedez-benz-230-6Gari aina ya Mercedez Benz 230.
rolls-royce-phantom-v2
Gari aina ya Mrolls Royce Phantom v2.rolls-royce-2
Gari aina ya Rolls Royce 2 mercedez-benz-e-300Mercedez Benz e 300 alilotumia hadi mwaka 1999 alipofariki dunia.
Magari hayo yamepangwa kulingana na miaka ambayo Mwalimu Nyerere alikuwa akiyatumia, kuanzia wakati wa ukoloni, wakati anashika madaraka mwaka 1961 na wakati wote wa uongozi wake hadi kifo chake, mwaka 1999.
Kamera yetu iliwashuhudia baadhi ya wanafunzi wa Jiji la Dar wakiambatana na walimu wao katika eneo hilo la Makumbusho ya Taifa wajikijifunza mambo mbalimbali kupitia magari hayo aliyoyatumia Mwalimu Nyerere kwa nyakati tofauti.

Comments

Popular posts from this blog