Magari Waliyozawadiwa Wachezaji wa Leicester City Baaada ya Kutwaa EPL
Magari hayo yalikuwa nje ya uwanja wa Leicester City wa King Power. Mmiliki wa Klabu ya Leicester City, Mthailand Vichai Srivaddhanaprabha amewanunulia wachezaji wake gari aina ya BMW i8 ambayo kila mchezaji aliyewezesha timu hiyo kuchukua ubingwa wa ligi kuu nchini Uingereza msimu uliopita amepatiwa gari lina thamani ya Pauni laki Moja kila moja ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 300 za Kitanzania