WATU MAARUFU WALIO-BET KWENYE PAMBANO YA MAYPAC
Floyd Mayweather ndie mtu aliyepata pesa nyingi baada ya pambano lakini sio mtu pakee aliyepata pesa baada ya pambano hilo kuisha. Najua hata mtaani kwenye kuna watu waliweka mizigo na kushinda kiasi cha pesa.Sasa kwa upande wa kimataifa kuna mtu kama 50 Cent ambae ni rafiki wa Floyd Mayweather aliweka kiasi cha dola milioni 1.4 na kashinda kwasababu aliweka upande wa The Money Team. Davido kutoka Nigeria ali-spend time yake akiwa Las Vegas na yeye aliweka dola 20,ooo kwa upande wa Floyd Mayweather bila kumsahau original Bad Boy P Diddy aliweka dola 250,000 . Hawa ni baadhi ya watu tu waliotangaza na wengine hawajatangaza mizigo waliyoweka, vipi kwa upande wako.