Posts

KATIBU TFF AKATAA FEDHA ZA MATAJIRI WA SIMBA, YANGA

Image
KATIBU Mkuu mpya wa TFF, Selestine Mwesigwa ameingia ofisini na mkakati ambao hakuna tajiri yeyote wa Simba wala Yanga atataka kuusikia. Kama mkakati huo utafanya kazi hakuna fedha zozote za mashabiki au wanachama matajiri zitatumika kufanya vurugu za usajili, jambo ambalo huenda likashitua wengi. Yanga na Simba zimekuwa zikifanyiana vurugu kwa kupokonyana wachezaji wakati wa usajili huku wanachama matajiri ambao wengine si viongozi wakitaka kutunishiana ubabe na kuonyeshana nani mwenye fungu. Lakini Mwesigwa ameingia TFF na mfumo ambao utazizuia klabu kutumia fedha yoyote ambayo haitokani na soka kama zilivyozowea kufanya Simba na Yanga ambazo hazina vyanzo maalum vya mapato. Kwa mujibu wa Mwesigwa klabu zote za Ligi Kuu Bara zitatakiwa kujihadhari na matumizi ya fedha ambazo hazitokani na soka katika matumizi yake mbalimbali ikiwemo usajili. Mwesigwa aliliambia Mwanaspoti kwamba, moja ya mambo ambayo atayasimamia ni utekelezaji wa azimio la

WABUNGE 15 MATATANI

Image
Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewaanika wabunge 15, waliobainika kuchukua posho za safari bila kusafiri huku wengine wakikatisha safari zao.  Akizungumza katika mahojiano maalumu jana na mwandishi wa gazeti hili, Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashililah, alisema tayari fedha hizo zimesharejeshwa kwa kukatwa kwenye mishahara yao. Dk Kashililah alisema baadhi ya wabunge waliomba wasikatwe fedha hizo kwenye mishahara yao, badala yake wazirejeshe wao wenyewe. Hata hivyo, Katibu huyo wa Bunge alisema wabunge hao walishindwa kusafiri kutokana na sababu mbalimbali, zikiwamo kuwa na ugeni wa viongozi wa chama na matatizo ya kifamilia. "Kwa mfano Komba (Mbunge wa Mbinga Magharibi, John Komba) alishindwa kwenda kwa sababu ya kutembelewa na ziara ya Katibu wake wa Chama (Abdulrahman Kinana) muda wa safari ukamalizika hivyo akashindwa kusafiri na taarifa zilikuwepo ofisini," alisema Dk Kashililah na kuongeza. Akizungumzia safari ya Kion

JOKATE AWACHAMBUA MADEMU WENZIE

Image
Jokate Mwegelo aka Kidoti ana mengi ambayo ameyasoma kwa baadhi ya wasichana wa Tanzania na yeye akiwa mmoja wao na hivyo amezikusanya sifa hizo kama sampuli na kueleza kile anachokipenda na asichokipenda. Kama mrimbwende amewasifia wasichana wa Tanzania kwa jinsi wanavyojua kuweka sawa na kupendeza. “kitu ambacho nakipenda, napenda kwa sababu wanapendeza, wanapenda like..kupendeza, wanajitunza vizuri.” Jokate amefunguka kupitia The Switch ya 100.5 Times Fm. Lakini kwa upande wa kile ambacho anaona hakiko sawa, uvivu ndio anaoupigia mstari. “Kitu ambacho sikipendi, ni kwamba…yaani sijui niseme kwamba hawajitumi sanaa. Yaani bado sijaona njaa ile.” Amesema Jokate. “Kwa mfano ukiangalia kwa mfano Marekani sasa hivi, all top artists ni wasichana, kwa hiyo females wanahustle. Wasichana wakibongo tumezoea sijui kupewapewa au kutafuta kupitia njia za kimkatomkato. That’s a thing ambacho mimi sikipendi na sitakiappreciate maisha yangu yote.” Amefunguka Kidoti. Amefunguka

PICHAZ...MMH..HATARI TUPU..SHINDANO YA KUMTAFUTA MREMBO ANAYEVUTIA KIMAHABA UKO USA LILIIVOKUA.

Image
CREDIT-KANDILI YETU

WAZIRI MKUU MHE. PINDA AHUDHURIA JUBILEI YA KANISA KATOLIKI ARUSHA

Image
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Maaskofu wa Kaisa Katoliki baada ya Ibada ya Jubilei ya miaka 50 ya  Kanisa Kuu  la jimbo la Arusha  iliyofanyika mjini Arusha  Desemba 30,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)

MTANGAZAJI WA CLOUDS FM ADAM MCHOMVU ANALIMA BANGI LIVE

Image

KATIBA: MWELEKEO MPYA KUJULIKANA LEO

Image
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakitia saini Rasimu ya Pili ya Katiba juzi. Rasimu hiyo itakabidhiwa leo kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein, Karimjee, Dar es Salaam. Picha ya mtandao.  Dar es Salaam. Swali la nini kilichomo katika Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya litajibiwa leo wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba itakapokabidhi rasimu hiyo kwa Rais Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein. Rasimu inayosubiriwa kwa hamu na wananchi wa kada zote itatolewa ikiwa imepita miezi saba tangu tume hiyo ilipotoa Rasimu ya Kwanza ya Katiba ambayo ilijadiliwa na kuboreshwa katika Mabaraza ya Katiba yaliyoketi kuanzia Julai 12 mpaka Septemba 2, mwaka huu. Tume hiyo iliyoanza kazi Mei 3, 2012 kwa kukusanya maoni ya wananchi, iliandaa rasimu ya kwanza iliyotangazwa Juni 4, mwaka huu. Hafla ya kukabidhi rasimu hiyo itafanyika leo saa 6.00 mchana katika Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

LAANA!!! MAUNDA ZOLLO APIGWA PICHA ZA UTUPU AKIWA GEST...AIBU ANGALIA PICHA HAPA

Image
Ni mara nyingine tena star mwingine tokea bongo picha zake chafu zimevuja katika mtandao mara hii ni kutoka kwenye Industry ya musc bongo

KANGA MOKO HII IMEZIDI JAMANI, NI SHIDAA TUPU .... JIONEE MWENYEWEEEE MA LAANA HAYA YA DUNIA

Image
ZiAngalia picha nyingine hapo chini

WASANII WETU SASA WAMEZIDI ... KUACHIA MOVIE HII ILIYOJAA LAANA TUPU

Image
Hakika tasnia ya filamu kwa hapa bongo na hata baadhi ya nchi za Afrika zimekuwa zikipotosha na kuharibu jamii zetu hasa vijana. Kwenye moja kati ya filamu ambazo inategemea kutoka hivi karibuni picha hizo ni baadhi ya shots zilizochukuliwa...

HII NDIO SAFARI YA MWISHO YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU SELINA MAKINGA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA CBE DODOMA

Image
 Wafanya kazi wa chuo cha CBE wakiwa kwenye msiba  wa marehemu Selina Makinga  area 'A' wakisubiria kutoa heshima zao za mwisho kabla ya kusafirisha mwili huo kwao Iringa  Ndugu, Jamaa na Mrafiki wa marehemu  Rais wa COBESO Mhe, Remidus akiwa kwenye msiba wa marehe  Selina Makinga , akiwa anahesabu hela ya kutoa rambirambi kiasi kilichofikia Tsh. 78,000/=  Familia ya marehemu wakiwa upande mmoja baada ya Padree kuongoza Misa Takatifu ya marehe Selina Makinga  Baadhi ya Wakristo wakishiriki kupokea ekaristi Takatifu  Marehemu akinyunyiziwa maji ya baraka kwa ishara ya imani yake aliyebatizwa kwa maji ya  baraka  Muda wakuaga mwili wa marehemu  Mama akiangusha kilio baada ya kuaga mwili wa marehemu  Mwalimu Ndunguru wa CBE Dodoma akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu   Rais wa COBESO Mhe, Remidius M. Emmanuel akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu  Naibu waziri wa Fedha Mhe, Simba akitoa heshima yake ya mwi