HII NDIO SAFARI YA MWISHO YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU SELINA MAKINGA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA CBE DODOMA


 Wafanya kazi wa chuo cha CBE wakiwa kwenye msiba  wa marehemuSelina Makinga area 'A' wakisubiria kutoa heshima zao za mwisho kabla ya kusafirisha mwili huo kwao Iringa
 Ndugu, Jamaa na Mrafiki wa marehemu


 Rais wa COBESO Mhe, Remidus akiwa kwenye msiba wa marehe Selina Makinga, akiwa anahesabu hela ya kutoa rambirambi kiasi kilichofikia Tsh. 78,000/=

 Familia ya marehemu wakiwa upande mmoja baada ya Padree kuongoza Misa Takatifu ya marehe Selina Makinga
 Baadhi ya Wakristo wakishiriki kupokea ekaristi Takatifu
 Marehemu akinyunyiziwa maji ya baraka kwa ishara ya imani yake aliyebatizwa kwa maji ya  baraka
 Muda wakuaga mwili wa marehemu
 Mama akiangusha kilio baada ya kuaga mwili wa marehemu
 Mwalimu Ndunguru wa CBE Dodoma akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu
  Rais wa COBESO Mhe, Remidius M. Emmanuel akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu
 Naibu waziri wa Fedha Mhe, Simba akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu

 Mwalimu Maziku wa CBE Dodoma akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu
 Mwalimu Mashenene wa CBE Dodoma akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu



 Mwalimu Mirindo wa CBE Dodoma akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu


 Mwalimu Lumanyika wa CBE Dodoma akitoa heshima yake ya mwisho kwa marehemu
 Ndugu wa Marehemu Selina Makinga wakitoa heshima zao za mwisho




Comments

Popular posts from this blog