Posts

HIKI NDO KICHAPO WANACHOPEWA WAASI WA M23 NA JESHI LA KONGO ( FARDC )

Image
 Goma -DRC. WAKATI mapigano yakizidi kuwa makali kati ya wanajeshi wa DR Congo (FARDC) na kundi la waasi wa M23, wanajeshi wa DRC wako hatarani kushitakiwa kwa tuhuma za kuwatesa waasi na kunajisi maiti zao.   Wanajeshi hao wanatuhumiwa kwa kosa la kukiuka haki za binadamu na sheria za Umoja wa Matifa (UN) inayokataza ukiukwaji wa haki za binadamu huku ukikataza watuhumiwa na mateka wa kivita kufanyiwa vitendo vyovyote vinavyo ashiria kukiuka haki zabinadamu badala yake mateka wote wanatakiwa kushtakiwa kwa muujibu wa sheria.  Maiti ya muasi wa M23 ikinajisiwa na Askari wa Congo,baada ya kukamatwa, kuteswa hadi kufa katika mapigakano yanayoendelea maeneo ya Kivu na Goma nchini Congo. Msemaji wa Katibu Mkuu wa UN  Ban Ki-moon alisema kwamba, Umoja huo umeonyesha wasiwasi  kuhusu taarifa ya kutokutendewa haki kwa wafungwa wa M23 na kunajisiwa kwa maiti ya wapiganaji wa M23 baada ya kukamatwa na vikosi vya silaha. Alisema watuhumiwa wa M23 walifanyiwa vit

PICHA ZA UCHI ZA MISS UTALII TANZANIA ZAVUJA MITANDAONI

Image
 Wakati  maelfu ha waumini wa dini la Kiislam duniani wakiwa ndani ya mfungo mtukufu ,hali imekuwa tofauti  kwa aliyekuwa mshiriki wa shindano la kumtafuta Miss Utalii Taifa  maarufu  kwa  jina  la  Faithiya Madoud  ambaye  ameamua  kupiga picha  za  uchi  kwa  makusudi  ...               Kwa  mujibu  wa  chanzo  cha  picha, mrembo  huyu  anadaiwa  kujipiga  akiwa  uchi ili ajiongezee  umaarufu ambao  alianza  kuuonja  kupitia  filamu  zake  za  "Mrembo  wa Facebook"  na  "nimpende  nani" -Picha  kwa  hisani  ya  Xdjaz

BAADA YA JANUARI MAKAMBA KUDAI KUWA MNYIKA NI "MNAFIKI".....ZITTO KABWE NAYE AMEAMUA KUINGILIA KATI MZOZO HUO

Image
Hizi  ni  tweets  za  viongozi  wetu  wakitupiana  lawama  kuhusu  swala  la  kodi  ya  line  kiasi  cha  kuitana  "MNAFIKI"....  

MMILIKI WA HOME SHOPPING CENTRE AMWAGIWA TINDIKALI

Image
Taarifa za awali zinadai kwamba Mfanyabiashara Said Mohamed Saad ambaye ni Mmiliki wa Home Shopping Centre (Dar), amwagiwa tindikali  saa mbili  ya usiku  huu maeneo ya Msasani City Mall .... Taarifa  hizo  zinadai  kwamba  mtuhumiwa  aliyefanya kitendo hicho alitoka mbio, mlinzi akamkimbiza lakini bahati mbaya akateleza na kuanguka na jamaa akawahi pikipiki na kutoweka eneo la tukio  LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK ILI KUPATA HABARI MOTOMOTO

ANGALIA PICHA ZA UTENGENEZAJI WA FILAMU MPYA YA WASTARA BAADA YA MATATIZO

Image
    Hatimaye mwadadada Wastara Sajuki amerejea tena kwenye ulimwengu wa filamu baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye tasnia hii kutokana na matatizo aliyoyapata ya kuondokewa na mumewe Juma Kilowoko (Sajuki) mnamo mwezi waJanuary mwaka huu. Akizungumza katika utengenezaji wa Filamu yake mpya ya kwanza atakayoiachia wastara amesema Filamu hii mpya wastara amesema kuwa itahusu maisha ya kawaida ya mwanadamu na jinsi ambavyo matatizo yanayomkabili binadamu yanavyoweza na kumuathiri kisaikolojia na kumpelekea kufanya mambo ambayo hakuwai kuyafikiria. Wastara amesema kisa kikuu kwenye filamu hii yake mpya ni jinsi familia moja iliyokuwa na maisha mazuri na baadaye mama wa familia kupata kansa ya kizazi na kupelekea kuondelewa kizazi chake kabla ya kufiwa na mtoto wake pekee aliyekuwa naye na namna ambayo mumewe anavyojaribu kumliwaza mkewe kwa matatizo yanayotokea. Wastara amesema kuwa kwenye Filamu hii ameshirikia na wai

WALIMU WACHAPWA FIMBO NA WAZAZI SHULENI.

Image
Kundi la wazazi wa watoto wanaosoma katika Shule ya Msingi Kinole, iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, mkoani Morogoro, wamevamia shule hiyo na kuwachapa walimu bakora na kusababisha baadhi yao (walimu) kujeruhiwa. Habari kutoka shuleni hapo zilizothibitishwa na Ofisa Elimu wa Halmashauri hiyo, Donald Temba, zinaeleza kuwa wazazi hao walifanya kitendo hicho juzi wakidai kuchoshwa na vitendo vya walimu hao vya kuwachapa watoto wao. Kutokana na tukio hilo, uongozi wa halmashauri umeifunga shule hiyo hadi hapo maamuzi mengine yatakapotolewa. Akielezea tukio hilo, Temba alisema lilifanywa na wazazi hao baada ya walimu kutoa adhabu kwa wanafunzi kwa makosa waliyofanya. Alisema wazazi hao walivamia shule hiyo wakimtuhumu Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Jaka Lukome, kuwachapa wanafunzi wawili bakora. Kwa mujibu wa Temba, wanafunzi hao walichapwa bakora siku mbili zilizopita kutokana na kosa la kupigana wakiwa shuleni.

UCHAWI WAIBUKA TAZARA: NJIWA ATUA NA BARUA YA VITISHO OFISINI

Image
Njiwa akiwa na ujumbe wa barua kama inavyo onekana Njiwa akiwa amedhoofu kwa Baridi akiwa katika choo cha wanaume Hii ni sehemu alipokutwa Njiwa huyo Majengo nje ya Ofisi ya Afisa Mwajiri Baadhi ya wafanyakazi wakielekea eneo la tukio Afisa Mwajiri (Mwenye shati ya bluu) Na baadhi ya wafanyakazi wakishuhudia tukio Mashuhuda wakitoka eneo la tukio Barua iliyoletwa na Njiwa maeneo ya Ofisi ya Mwajiri upande wa mbele na nyuma Jengo la Ofisi ya Afisa Mwajiri Stesheni ya TAZARA kituo cha Mbeya  -------------- WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli, kati ya Tanzania na Zambia(TAZARA) jana walijikuta katika wakati mgumu na baadhi yao kulazimika kuzikimbia ofisi zao, baada ya ndege aina ya njiwa kukutuwa katika moja ya choo cha ofisi hiyo akiwa amefungwa hirizi shingoni, huku akiwa na barua yenye ujumbe wa onyo kali. Tukio hilo la aina yake, lilitokea mapema  saa mbili asubuhi katika ofisi za mamlaka hiyo zilizopo eneo la Iyunga Mkoani hapa, hali a

MASHABIKI WAMPONDA WEMA SEPETU BAADA YA KUYAANIKA MATITI YAKE MTANDAONI

Image
n “Did I miss a spot…? I dunno,” ni maneno ya Wema kwenye picha aliyoiweka leo katika mtandao wa Instagram.  Hata hivyo mashabiki wengi wamemshambulia mrembo huyo kwa kile wanachohisi hakupaswa kuiweka katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.    Haya ni baadhi ya maoni:   nanchesca5 Girl, I’m not trying to fix you,But this is the holy month.Keep it calm.It won’t hurt. princesswawiey R u sure…ur a muslim? 1 khadijaumumustafa Wewe ni binti wa aina gani usieogopa mwezi mtukufu wa ramadhan ama kweli umeshindikana kabisa hata nachanguduwa uheshim huu mwezi ila wewe ni zaidi SubhanaLLAH. sweettuma Punguza picha za hivyo vastaraa mwez ukiisha vaa utakavo jst jistir kwamda mfup hailet picha nzur .   mamu30 mhuu wema wangu ulivyokuwa na damu ya kunguni kesho tutaikuta hii picha kwenye mablog itakuwa gumzo ooh wema haheshimu mwezi mtukufu kumbe picha ya sikunyingi wao watadhani ndio unavyovaa hivi wakati wa mfungo lol   hazole Mnaolalamika mwe

MWANAFUNZI WA DARASA LA TATU AUAWA KIKATILI

Image
Mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi Kizega wilayani Iramba Bi. Mariamu Alphonce mwenye umri wa miaka kumi ameuwawa kikatili kwa kukatwa shingo na kucharangwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na kaka yake bwana Elibariki  Alphonce. Akieleza kwa uchungu baba wa mtoto huyo bwana Alphonce Msengi amesema alipofika nyumbani kwake majira ya saa kumi na moja jioni alikuta damu nyingi na alipo angali vizuri alimuona mtoto wake Mariamu Alphonce akiwa amekatwakatwa kwa mapanga na tayari alikuwa ameshafariki. Bwana Msengi baada ya kuona hivyo alipiga yowe na walikuja majirani na watoto na wakamwambia tumemuona mtoto wako Elibariki akiwa na mapanga mawili akikimbia huku akiwa hana nguo.  Wakieleza mwenyekiti wa kitongoji Bi Vailet Mbigu na mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kizega bwana Elisante Gyuzi wamesema pamoja na shule kuandaa taratibu zote za mashishi , kijana aliyefanya unyana huo huwa anavuta bangi na mara nyingi alikuwa akisikik

Dogo Asley afunguka kuhusu jimama lililokuwa likimtaka kimapenzi na kusababisha kutengeneza wimbo "Bado Mdogo"

Image
Young and hit maker wa wimbo "Naenda kusema kwa mama", Dodo Asley, amefunguka juu ya uhalisia wa wimbo wake mpya "Bado Mdogo", liomshirikisha Lina, ambao unazungumzia mama anaependa kufatilia watoto wadogo na kuwataka kimapenzi.  Asley amesema wimbo huo ni kwa ajili ya kuwaelimisha vijana juu ya maswaha hayo, lakini pia ni story ya kweli iliyomtokea yeye akiwa na miaka 16, pale tu alipotoka na pini lake "Naenda kusema kwa Mama".kipindi kile naanza anza yaani ndo nyimbo inatoka ile "naenda kusema kwa mama ndio" , nilishawahi kupigiwaga simu na mama mmoja akijifanya yeye anataka wasanii kwenye show, lakini sijamuelewa yule mama, tulikuwa kila siku tunavyoendelea kuongea naona ananigusia sehem nyingine, halafu ukizingatia huyo mama anasema yeye ni mkubwa sana, yaani umri wake ni mkubwa tofauti na mimi  ukiangalia mimi umri wangu ni mdogo kipindi kile nakumbuka nilikuwa nina miaka 16, ye mwenzangu ana watoto, te

MAUAJI YA WANAJESHI DARFUR, HOFU YATANDA

Image
Mmoja wa majeruhi katika shambulio la wanajeshi huko Darfur nchini Sudan. Na Mwandishi Wetu KUFUATIA kushambuliwa na kuuawa kwa wanajeshi saba wa Tanzania huko Darfur nchini Sudan, hofu imetanda kwa ndugu na jamaa wa askari mbalimbali walio nje ya nchi yetu. Wakizungumza juzi katika ofisi zetu Bamaga, Mwenge  Dar kwa nyakati tofauti huku wakiomba kutoandikwa majina yao gazetini, baadhi ya ndugu wa wanajeshi wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ) walio katika kazi maalum ya kulinda amani huko Darfur, DR Congo na Lebanon wamesema hofu yao inakuja baada ya kusikia kuwa huwa hawatumii silaha kujilinda. Gari la wanajeshi walioshambuliwa. “Sasa kama hawatumii silaha na wanatumia virungu na wenzao wanatumia bunduki tena za kisasa hofu yetu ni kwamba watazidi kushambuliwa na kuuawa,” alisema ndugu mmoja. NA GLOBAL PUBLISHER Ndugu mwingine alisema kwamba wanakuwa na wasiwasi mkubwa na kutaharuki kutokana na maelezo yanayotolewa kupitia vyombo

Mafuvu 56 ya Vichwa vya Watu Yakutwa Nyumbani kwa Mtu

Image
Police wa Austria kwenye jimbo la Burgenland inamshikilia jamaa ambaye amekutwa na mafuvu 56 ya vichwa vya watu pamoja na baadhi ya mifupa ya viungo vya binadamu nyumbani kwake. Shirika la Umma la Utangazaji nchini humo ORF limetoa taarifa hiyo mnamo siku ya Jumanne, likisema kuwa mafuvu hayo yalichukuliwa na jamaa huyo toka kwenye makaburi ya Kanisa moja. Pia limetaarifu kwamba, polisi walipatwa na wasi mara baada ya kumuona jamaa huyo mwenye umri wa miaka 47 akiuza mafuvu matatu na mifupa miwili ya miguu kwenye soko moja. CHANZO: Huffington Post vi Dan Chibo
Image
VODACOM WAZINDUA CHARGER YA SIMU INAYOTUMIA MIONZI YA JUA Vodacom Tanzania sasa wanauza charger za simu zinazojulikana kama ReadySet Charge ambazo zinatumia njia mbadala ya chanzo cha nishati …  Charger hizo zinazotumia mionzi ya jua zinawafaa wafanyabishara ndogo ndogo kwa matumizi tofauti katika kazi zao … Pichani chini; Mfanyabiashara maeneo ya Ubungo akioneshwa jinsi kifaa hicho kinavyofanya kazi … Posted by Phars Nyanda

Mwanafunzi wa kike DSM ajinyonga kisa kupinga kusoma

Image
Mwanafunzi  wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Tegeta jijini Dar es Salaam, Bertha Amir (14), pichani, amejinyonga hadi kufa akipinga kulazimishwa na mama yake mzazi kusoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alisema mwanafunzi huyo alijinyonga juzi  saa 11:00 jioni, maeneo ya Tegeta Namanga, jijini Dar es Salaam. Alisema marehemu alikutwa amejinyonga chumbani kwa kutumia mtandio ulioning’inizwa juu ya dari. Kamanda Wambura alisema sababu za mwanafunzi huyo kujinyonga bado hazijafahamika, lakini akasema inasadikika kuwa wakati wa enzi za uhai wake, siku moja kabla ya kifo chake, alikuwa ameongea na mama yake, Angelina Maiko Mshami (30), ambaye alimtaka achukue fedha kwa ajili ya kujiandaa kwenda shule. Alisema mtoto huyo alimjibu mama yake kuwa hahitaji kusoma, bali anataka kufanya kazi. Kamanda alisema kuwa mwili wa mwanafunzi huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguz

ANGALIA PICHA ZA MBOWE AKIZINDUA KANDA YA KUSINI

Image
  Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe akiingia katika viwanja vya stendi ya malori mjini Songea ili kuzungumza na wananchi. Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe akihutubia wananchi jana katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa Kanda ya Kusini uliofanyika katika viwanja vya stendi ya malori mjini Songea. Wananchi wakifuatilia hotuba ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe  wakati  akihutubia wananchi katika viwanja vya stendi ya malori mjini Songea jana. Kila mtu alijitahidi kupata nafasi nzuri ili aweze kufuatiliwa vyema matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea katika mkutano huu kama inavyoonekana. Njiwa walirushwa kuonesha ishara ya upendo wakati wa uzinduzi wa Kanda ya Kusini ya Mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma. Mwenyekiti CHADEMA taifa, Freeman Mbowe akihutubia wanachama wa CHADEMA katika mkutano wa kuchagua viongozi wa chama Kanda ya Kusini ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma uliofa