BONGO MOVIES WAPATA VIONGOZI WAPYA-STEVE NYERERE ALA SHAVU KUBWA



Kundi la Bongo movie unity limepata  uongozi mpya wa club hapa nchini hapo jana baada ya kufanyika kwa uchaguzi wake kwenye viwanja vya leaders kinondoni jijini Dar es Salaam.
Katika uchaguzi huo viongozi wapya walichaguliwa ni;
Mwenyekiti.  Steven Nyerere.
Makamu mwenyekiti : Mahsein awadhi "Dr cheni"
Katibu mkuu:  William Mtitu
Katibu mkuu msaidizi : Devotha mbaga 
Mtunza hazina: Issa musa “cloud"
 Msaidizi wake ni:  Cathy rupia

Comments

Popular posts from this blog