BAADA YA MANGE KUMUANDIKA SINTAH-SINTAH NAE JANA KAJIBU HAYA HAPA CHINI


IJUMAA YA MAJANGA


"Hellow Wadauzii 

Naombeni niwaambie binafsi mimi nipo pouwa kabisa, na sijachukua mkopo popote na huyo aliosema nimechukua mkopo naomba atoe hizo documents ili nyie wawadau wetu mjue kama ni kweli ama sikweli , mengine me naona ni kawaida binaadamu anaongea yake



na kusema mtu katukaniwa mtoto wake ktk commnent ni mimi niliotuma comment yeye si ni bingwa wa kujua IP Adress or whatever si aangalie amjue nani anayemsakama na mwanae, 

besides huyo dada kuna kama miaka mnakumbuka alimtoa mtoto wa Adeline Mushi na kusema kampeleka mama yake jela hivyo poor girl asiekuwa na baba atateseka akilia mama maana hana wa kumlipia school fees??

yeye adeline kwani alijisikiaje mtoto wake kuwa subject ktk blog, kama wana mambo yao wangemaliza wenyewe not kumuhusisha mtoto
so msinipe lecture ya kuniambia why i did so? besides mimi sio malaika kuna wakati comments zina jaa na nashindwa kuangalia nikiwa na mambo mengi 


ni mihogo yangu kupewa duka bure ama kulipia, mwenye wivu akale BIG na swaumu hii apunguze stress. lolest eti akalipie bank mamdogo waaonyeshe mashabiki wako facts basii wewe si bingwa wa facts.

Khaaa duka moja linamtoa mtu roho sasa nikiwa na sita patakuwa hapatoshi basi binaadamu tupendane mwenzako akipata ama akifanikiwa na si kumkandamiza, wivu ni kidonda na ukishiriki utakonda, mnakumbuka ile post ya mpoki?? baaasi jibu mnalo 
binaadamu akipata shukuru na muombee sio kumtia nuksi na vitu vya uongo yarabiii. 

kwahio akitokea mtu akikwambia sintah kanya stand kwakuwa unamchukia jlo Tz u will go ahead and publish kiruuu, kwani si hatuyajui yako kuna mtu mwenye shida ya kuyaandika na kwanini tufuatilie mambo yasiyotuhusu?? daah kuna watu wana kazi zao jamani 24/7 kutafuta file la mtu poor me ngoja nitafute pesa ya sintah's wedding lounge

sasa wale mashabiki mandazi na vitumbua mwambieni atoe hizo documents za Access bank ambazo mie nimekopa bank na huyo msamaria mwema si  ndio amemwamini basi mwambieni atoe hizo documents

wasalaam 


CEO
siishi kwa mkopo narudia tena   siishi kwa mkopo  (sorry typing error halafu mnaouliza nilisema eti bank wanafuatilia yes coz wametajwa wanataka kujua why wanahusishwa na mie so mkae mkijua hilo, kutaja jina la kampuni/mtu asiehusika ni illegal so hao bank wanajua wenyewe watafanyaje. mimi sijachafuliwa coz i know my self better. )" Sintah

Comments

Popular posts from this blog