Posts

Unamuwaza kila wakati, hakuwazi kabisa, wa nini?

Image
NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha na wewe msomaji wangu katika safu hii, hakika yeye ni mwema na ametujalia uzima ili na wewe uweze kupata kusoma kile ambacho nimekuandalia siku ya leo. Mapenzi ni dawa. Mapenzi yanatupa furaha, yanatingisha dunia. Hakuna kitu kizuri kama kupendwa. Umpate mtu akupende na wewe umpende. Dunia yote mnaiona ni ya kwenu. Pamoja na kuwa matamu, wakati mwingine hugeuka shubiri. Yanakuwa machungu pale mmoja wenu anapokuwa hampendi mwenzake sawasawa na anavyopendwa. Mmoja anapokuwa anampenda mwenzake wakati anayependwa harudishi upendo, penzi haliwezi kuwa na uhai mrefu. Linaweza kulazimishwa kwa sababu fulani lakini mwisho wa siku ukweli unabaki palepale. Naam! Hapo ndipo kwenye kiini cha mada yangu ya leo. Ambaye anapendwa ataleta visa ili mradi tu muachane, atafanya hivyo kwa sababu hakupendi. Yupo ampendaye. Si wewe. Wewe anakufanya wa akiba au maslahi fulani. Unayempenda anaweza kukudanganya. Akajifanya anakupenda kumbe hakupendi.

WEMA SEPETU AELEZA ‘MAHABA’ YAKE KWA JANUARY MAKAMBA!

Image
Brighton Masalu MTOTO ‘laini’ kunako tasnia ya urembo na filamu Bongo, Wema Sepetu ameeleza kwa hisia kali jinsi anavyompenda Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba katika utendaji kazi wake. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, mbele ya naibu waziri huyo, Wema alisema miongoni mwa viongozi ambao humyima usingizi katika kuliongoza taifa hili kwa weredi mkubwa ni pamoja na Makamba. “Yeah, kusema ukweli nampenda sana Makamba, hakika ananivutia kwa mengi, hususan utendaji kazi wake,” alisema Wema.

BREAKING NEWS : MWENYEKITI WA CCM MKOA WA DODOMA ADAM KIMBISA ABWAGA MANYANGA.

Image
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Ndg. Adam Kimbisa, aachia ngazi. Amedai kuwa anataka kumpumzika siasa ila wadadisi wa mambo wanasema ni maandalizi ya kuja UKAWA.  BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

BREAKING NEWZZ, JESHI LA POLISI LAKANUSHA TAARIFA ZA KUPIGA MARUFUKU MSAFARA WA LOWASSA, SOMA HAPA WALICHOSEMA

Image
  Kamanda Kova asubuhi ya leo akiongea na ITV amekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo whatssap kuwa watu wasiokuwa na shughuli mjini wasiingie kwa sababu mgombea wa CHADEMA atakuwa anachukua fomu na foleni itakuwa kubwa pia itahusisha magari, pikipiki, guta, baiskeli na helikopta na wameweka jina langu, pili amesema maandamano yataanzia makao makuu ya CUF Ilala saa tatu asubuhi, njia waliyoandaa jeshi la polisi ya kiusalama itaanzia UFIPA, Kinondoni kupitia Salender Bridge kuelekea ofisi za NEC. Amewaambia wananchi waje mjini kama kawaida kwa sababu wengine rizki yao inategemea kuamka kwake na kujishughulisha asubuhi mpaka jioni na ukiwaachia tu watu kwa ajili ya kuchukua fomu itakuwa tatizo. Tunachukua fursa hii kukanusha haya maelezo sio ya kwetu hata jinsi jinsi tangazo sio namna yetu ya kuandika taarifa na watu waache kupotesha watu kupitia mitandao kwa sababu masuala ya kiusalama ni nyeti sana. Maandamano ni kitu sisi Polisi tunaratibu

Batuli aeleza sababu za kutoolewa.

Image
Yobnes Yusuph ‘Batuli’. Brighton Masalu STAA wa filamu Bongo, Yobnes Yusuph ‘Batuli’, ameeleza sababu zinazochangia yeye kutoolewa kuwa ni umaarufu wake. Akizungumza na mwandishi wetu pande za Mlimani City jijini, alisema kuwa wanaume wamekuwa wakiwahofia kwa sababu wao ni mastaa kama wengi wanavyoamini ukimuoa staa umeumia.“Natamani sana kuolewa ila wanaume ndiyo tatizo, wanatuhofia sisi mastaa, nawaambia wasiwe na hofu na mimi kwani nimetokea kwenye familia bora ambayo imenilea vyema,” alisema Batuli.

MAELFU YA WANACHAMA WA CUF WAJITOKEZA KUMLAKI LOWASSA BUGURUNI LEO, ANGALIA PICHA HAPA

Image
 

Mtoto wa zari amliza Diamond.

Image
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, akiwa na mtoto wake P rincess Tiffah . Musa mateja na imelda mtema HII ni kali! Muda mchache baada ya mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kujifungua salama, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amejifungia chemba kisha kuangua kilio akisema Mungu ni mwema huku akiwataja waliowahi kuwa wapenzi wake, Penniel Mungilwa ‘Penny’ na Jokate Mwegelo kwa maneno yao ya shombo. Mama yake Diamond Platnumz, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa na mjukuu wake wakiwa na Zari baada ya kujifungua. TUJIUNGE AGA KHAN Tukio la kujifungua mchumba wa Diamond, Zari lilijiri Agosti 6, mwaka huu mishale ya saa 10:40 alfajiri katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar  ambapo alipelekwa usiku huo baada ya kujisikia uchungu ambapo alijifungua mtoto huyo wa kike. Chanzo cha habari kilieleza kwamba, siku hiyo, wakiwa hospitalini hapo, muda mfupi tu baada ya Diamond kuambiwa kuwa tayari Zari amejifungua, jamaa huy

SKAINA: WAOMBA RUSHWA YA NGONO WAMENIKATISHA TAMAA!

Image
BRIGHTON MASALU SKYNER Ally ‘Skaina’ amekiri kukutana na changamoto ya kuombwa rushwa ya ngono na baadhi ya wazalishaji wa filamu (producers), ili aweze kuonekana kwenye filamu mbalimbali, jambo ambalo anakiri kumkatisha tamaa katika safari yake ya kufika mbali kisanii. ....Soma zaidi====> http://bit.ly/1KWNriy

MAGUFULI ASEMA YEYE NI MUUMINI WA MISINGI IMARA YA CCM

Image
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ally Mtopa akisalimiana na Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli nje ya ofisi ya CCM mkoa wa Lindi  Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kutoka Wilaya ya Lindi ,Mama Salma Kikwete mara baada ya kuwasli  kwenye ofisi za CCM mkoa wa Lindi.  Mgombea wa Urais kwa kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi Ally Mchumo mara baada ya kuwasili kwenye ofisi za CCM mkoa wa Lindi. Mgombea wa Urais kupitia CCM ,Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana mkoa wa Lindi Ndugu Amiri Mkalipa wakati wa mapokezi nje ya ofisi za CCM mkoa wa Lindi.    Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mchumi wa CCM mkoa wa Lindi Ndugu Kassim Abdallah.  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Magufuli akisalimiana na wana CCM wa mkoa wa Lindi walioj

KAULI YA SOPHIA SIMBA KUHUSU MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM, "MAGUFULI" ,

Image

BREAKING NEWS: MAKUBWA YAIBUKA NDANI YA CHAMA CHA CUF...HIKI SASA NDICHO KIMETOKEA MUDA MFUPI ULIOPITA

Image
Wafuasi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na pia mwenyekiti mwenza wa muungano wa wapinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba, wameanza kushughulikiwa na kutakiwa kuchagua moja; kuendelea kuwa ndani ya chama hicho au kutoka. Ingawa Profesa Lipumba alipojiuzulu uenyekiti, alisema ataendelea kuwa mwanachama wa CUF, lakini Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wanachama waliokuwa wakimuunga mkono, kuamua moja, kubaki ndani ya chama hicho kama alivyoamua mchumi huyo mashuhuri duniani, au kutoka. “Profesa Lipumba kajiuzulu CUF, wale waliojiunga CUF kwa sababu ya Profesa, wanayo fursa ya kuamua kubaki CUF au kutoka,” alisema Hamad juzi usiku. Mbali na kuwataka wanaomuunga mkono Profesa Lipumba kuamua kutoka ndani ya chama hicho au kubaki, wakati kiongozi wao akiwa ameweka wazi kuwa hana nia ya kutoka katika chama hicho, Maalim Seif alitoa kauli zingine kuashiria kutohitaji hata uanachama wa

BREAKING NEWS : RATIBA YA EDWARD LOWASSA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Image

MEZA YA MAGAZETI YETU YA LEO TRH 9/8/2015

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . .