Posts

NGUMI ZAPIGWA BUNGENI NCHINI KENYA

Image
Seneta Johnston Muthama aliyejeruhiwa mguuni na kuchaniwa suruali yake wakati wa vurugu bungeni leo. WABUNGE nchini Kenya leo wametofautiana bungeni na kuamua kutupiana makonde huku wengine wakichaniana nguo kufuatia mjadala kuhusu muswada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa Wakenya. Bunge nchini Kenya. Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 kufuatia mtafaruku huo. Kikao cha leo kilikuwa kikao maalum ambacho kilipaswa kupitisha muswada huo ambao baadaye utaidhinishwa na Rais Kenyatta kuwa sheria. Wabunge wa upinzani waliupinga muswada huo na kuanza kurusha karatasi sakafuni huku wakitatiza shughuli bungeni humo. Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama wa Bunge, Bwana Asman Kamama, alijaribu kutaja mabadiliko yaliyopendekezwa kufanyiwa muswada huo lakini wabunge walianza kuimba na kumzomea spika wa bunge wakiukataa muswada huo wakisema 'bado mapambano.' Spika wa Bunge hilo, Justin Muturi kuna kipindi alimuru wali

TANZANIAN MIHAYO CHARLES WILL SERVE A MINIMUM OF 31 YEARS IN PRISON FOR MURDERING.

Image
 Photo: Mihayo will serve a minimum of 31 years in prison for murdering his daughters. (AAP: Julian Smith) Photo: Indianna, 3, (left) and Savannah, 4,  A Melbourne man who murdered his two young daughters by smothering them with a pillow has been sentenced to life in jail. Charles Mihayo, 36, smothered his daughters Savannah, 4, and Indianna, 3, at his unit at Watsonia in April. He pleaded guilty to the killings in August and was today sentenced in the Supreme Court to a minimum of 31 years in jail. Prosecutors said Mihayo was locked in a bitter custodial dispute with the girls' mother, his former wife, at the time and had acted out of revenge. The court heard Mihayo sent a text message to his former wife shortly before he killed them suggesting she had "won", and he was giving up his rights to see the girls. He told her he wanted to see them "one last time" and when she took them to see him, he dressed the girls up in new dresses h

ANGALIA DIAMOND NA ZARI WAKILA CHAKULA CHA USIKU

Image
Diamond amefika Uganda na kupokelewa na timu ya Zari kwaajili ya party yake ya#ZariAllWhiteCirocParty inayofanyika @guvnoruganda tarehe 18 December 2014. Hizi picha za chakula cha usiku wakiwa na mwenyeji wao Zari.  

PROF. TIBAIJUKA AKATAA KUJIUZULU

Image
  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka, akiongea na wanahabari hivi punde ndani ya Hyatt Regency Hotel Dar es Salaam amesema haoni sababu ya kujiuzulu kutokana na sakata la akaunti ya Escrow. Aongeza kuwa watu wanaona suala la kujiuzulu kama fasheni ila yeye hayupo katika fasheni hiyo.

PICHA: MAZISHI YA MWANAMUZIKI MKONGWE, MAREHEMU SHEM IBRAHIM KALENGA YAFANYIKA KATIKA MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR

Image
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255786063576 / +255765957698. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

phars.blogspot.com: MSANII: NIMETEMBEA NA MASTAA 15 BONGO

phars.blogspot.com: MSANII: NIMETEMBEA NA MASTAA 15 BONGO : Muuza nyago kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ . Mamaaa! Muuza nyago kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘B...

phars.blogspot.com: MSANII: NIMETEMBEA NA MASTAA 15 BONGO

phars.blogspot.com: MSANII: NIMETEMBEA NA MASTAA 15 BONGO : Muuza nyago kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ . Mamaaa! Muuza nyago kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘B...

MSANII: NIMETEMBEA NA MASTAA 15 BONGO

Image
Muuza nyago kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ . Mamaaa! Muuza nyago kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ ameibuka na kuanika kijasiri kuwa ‘ameshambonji’ na mastaa wa kiume 15 wa Bongo huku akisema kitendo hicho hakijamuondolea hadhi yake, Risasi Mchanganyiko linatiririsha. Akizungumza katika mahojiano maalum na waandishi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar, Bozi alitamka hayo kwa kujiamini zaidi.Mahojiano kati ya msanii huyo na Risasi Mchanganyiko yalikuwa kama ifuatavyo: Risasi: “Mzima Bozi?” Bozi: “Mi mzima sana. Enhe! Karibuni  maana nasikia mmenitafuta sana, kuna nini?” Risasi: “Tumeshakaribia. Sisi tunataka kufanya mahojiano na wewe kuhusu sanaa kwa ujumla, ugumu na wepesi wake.” Bozi: “Oke, sawa.” Fatuma Ayubu ‘Bozi’akipozi. Risasi: “Oke, labda kwa kuanzia Bozi, umeshapambana na ugumu wowote kwenye fani? Kama vile kulazimishwa kuvaa nguo za hasara kutokana na ‘sini’ unayoigiza?”Bozi: “Ba

TALIBAN WAUA WATU 126 WAKIWEMO WANAFUNZI ZAIDI YA 100 NCHINI PAKISTANI

Image
Majeruhi katika shambulio hilo wakipatiwa huduma za kitabibu. Mmoja wa wanafunzi aliyejeruhiwa na Taliban akipatiwa huduma ya kwanza. Majeruhi akipatiwa huduma katika hospitali jijini Peshawar nchini Pakistani. Ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa katika mitaa ya Jiji la Peshawar. Magari ya kubeba wagonjwa wakielekea eneo la tukio. Wananchi wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa mwanafunzi mmoja aliyeuawa na Taliban. Wanajeshi wakiwasili eneo la tukio. TAKRIBANI watu 126 wameuawa, wakiwemo wanafunzi zaidi ya 100, baada ya wapiganaji sita wa Kundi la Taliban waliokuwa wamejihami kwa silaha kuvamia shule moja inayomilikiwa na jeshi jijini Peshawar nchini Pakistani na kupiga risasi hovyo na kujilipua kwa mabomu.Shambulio hilo lilianza kwa wapganaji hao kuingia katika shule yenye wanafunzi 500 ambao ni wa grade 1-10 wanaodhaniwa kuwa na umri kati ya miaka 5-14 mapema leo na kuanza kuwapiga risasi hovyo kwa kuingia darasa moja baada la lingine.