Posts

ANGALIA PICHA YA BASI LA MTEI LILILOCHOMWA MOTO NA WANANCHI LEO

Image
  Hii ni habari mbaya kwa Taifa lenye sifa ya Amani Tanzania ila watu wake wamegeuka wanyama na kuchukua maamuzi mikonon.Leo asubuhi bus la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda mnadani singida baada ya bus ilo kugonga pikipiki yani bodaboda na kuua watu watatu Hapohapo.

MWONEKANO WA STAA WA MOVIE ARNOLD SCHWARZENEGGER AKIWA AMETIMIZA MIAKA 66 SASA

Image
  Huyu ni star wa Filamu ambaye kwa hakika Hakuna asiye mfahamu kabisa, katika Tasnia  hii ya sanaa ya uigizaji wa Filamu Duniani. Inawezekana hufahafu kuwa ARNOLD ana watoto wa watano ambao ni  Patrick Schwarzenegger, Katherine Schwarzenegger, Joseph Baena, Christopher Schwarzenegger, Christina Schwarzenegger na kipenzi chake MARIA. Anorld amezaliwa  July 30, 1947 kwa sasa na Miaka 66.   Arnold Amezaliwa Austria, pia hizi ni Baadhi ya kazi anazozifanya  Muigizaji, Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Mwekezaji, na wa zamani na Bodybuilder kitaaluma. Schwarzenegger aliwahi vipindi viwili kama Gavana wa 38 wa jimbo la  California kuanzia mwaka 2003 hadi 2011.  Movie alizowahi kuigiza ni    Terminator: Genesis ,  The Expendables 3 ,  Sabotage , Captive ,  Unknown Soldier ,  Predator ,  The Last Stand  na Nyingine Nyingi Kweli Miaka hairudi Nyuma! Ni Kizee cha mika 66 sasa Hapa Arnold akiwa na kipezi chake Maria Shriver

WAKATI JACKIE CLIEF AKINYEA DEBE, JUX AAMUA KUTOKA NA MASOGANGE

Image
VIDEO Queen, Agnes Jerald ‘Masogange’ hivi karibuni alibambwa maeneo ya Sinza Kamanyola jijini Dar akijiachia na anayetajwa kuwa ni mpenzi wa Jack Patrick, Juma Khalid ‘Jux’. Masogange akipozi na Jux. Wawili hao walibambwa kwenye duka moja lililopo maeneo hayo baada ya Jux kutua kutoka China huku Agnes akionekana kama anayemfariji kwa tukio la Jack kunaswa na madawa ya kulevya. Jux akiwa na mpenzi wake Jack Patrick. Akiuzungumzia ukaribu wake na Jux, Masogange alisema: “Wala hakuna lolote kati yangu na yeye. Mimi na wale akina Jux pamoja na dada yake ni watu wangu wa karibu sana tunaojuana muda mrefu hivyo tulikuwa  tunabadilishana mawazo tu.” Masogange akiwa na Jack. Jux na Jack wamekuwa wakionekana katika mitaa ya China wakila bata huku kukiwa na madai kuwa ni wapenzi na kuonekana kwa Jux na Masogange wakijiachia kumeibua maswali

SUPER MBURULLAAZZZ ... MWANAFUNZI MWINGINE WA CHUO AJIUZA LIVE FACEBOOK ... TAZAMKE ALIZOZIANIKAA PICHA ZAKE

Image
Katika hali ya kushangaza msichana mmoja anaejiita Seche Mautamu ambae anajiuza kupita mtandao wa kijamii wa facebook kwa kuweka picha zake za utupu. Zifuatazo ni picha zake hizo na baada ya hizo picha utakuta link ya PROFILE yake ya facebook. Ukienda kwenye profile yake hiyo nenda kwenye About utaona AMESEMA anasoma CHUO ! Kama ni kweli ni mwanafunzi wa CHUO then taifa letu lina tatizo kubwa kuliko tunavyodhani.

MKASA WA NYOKA 2000 KUSAFIRISHWA KWENYE NDEGE YA ABIRIA

Image
Mambo ya nyoka ©australianbusinesstimes   Na. Profesa, Mchungaji Ole Nasioki Edward. Ndege moja ya abilia ilikua imepakia abilia wapatao 240 na mizigo, lakini katika baadhi ya mizigo ndege iliyokua imepakia kukawa na nyoka wapatao 2000 waliokua wakisafirishwa kutoka Harare zimbambwe kwenda ulaya kwaajili ya kutumika kutengeneza bidhaa kama mikanda na mikoba ya akina mama Lakini wakati wa kupakia mizigo ile wale nyoka hawakufungiwa vizuri, na ndege ilipofika juu wale nyoka wakaanza kutoka ili kutafuta hewa(Kadiri unavyopanda kwenda juu mgandamizo unaongezeka na oksijeni inapungua) Wale nyoka wakafanikiwa kufika mpaka sehemu ya abilia, abilia walipowaona wale nyoka wengi wakaanza kupiga kelele na kuhangaika, ndipo rubani wa ile ndege alipokuja kuangalia nini kinaendelea, alipoaangalia akawaona wale nyoka wametoka na wamewazunguka baadhi ya abilia. Yule rubani akawasiliana na kituo cha ndege kilichoku

JOHARI AWARUSHA ROHO RAY NA CHUCHU HANS

Image
 Huku  Ray na Chuchu Hans wakionekana penzi lao limepamba moto, mpenzi wa zamani wa  Ray, Blandina Chagula ‘Johari’ ameonekana kuwarusha roho wawili hao baada ya kutupia mtandaoni picha inayomuonesha kidoleni amevaa pete ya ndoa. Johari. Wakizungumza na Ijumaa baadhi ya watu waliobahatika kuiona picha hiyo wamesema kuwa kitendo cha Johari kuweka picha hiyo ni sawa na kuwarusha roho wawili hao kwamba yeye atakuwa wa kwanza kuolewa kabla ya Chuchu na Ray kufunga ndoa. Ray na Chuchu. “Unajua kila mtu ana njia yake ya kufikisha ujumbe, kitendo cha hivi juzi Ray na Chuchu kujiachia bila ya kificho katika Viwanja vya Leaders Club, ambapo kulikuwa na uchaguzi wa viongozi wa Bongo Movie ni sawa na kumwambia Johari hana chake ndiyo maana na yeye ameamua kurudisha kijembe kwa staili ya kuweka picha aliyovaa pete ya ndoa ili kuonyesha kuwa yeye ataolewa ila Chuchu atachezewa tu na kutupwa,” alidai mmoja wao. Baada ya kusikia taarifa hizo kutoka kwa wadaku hao Ijumaa

DENTI WA CHUO UDSM ATUPIA PICHA ZA UTUPU FACEBOOK

Image
huyu ni binti anayejulikana kwa jina la J esca Kikumbi anayesoma chuo kikuu aliyeamua kupiga picha zake na kizonesha  facebook [asipokujua alikuwa na malengo gani?   NINI MAONI YAKO NDUGU MDAU WETU

WASANII WENYE HOFU YA KIFO HAWA HAPA

Image
HOFU ya kifo imetawala kwa mastaa Bongo ikiwa ni siku chache baada ya gazeti hili toleo la Jumamosi iliyopita kutoka na habari ya utabiri wa Hussein Yahaya, ikieleza kuwa mwaka huu vifo zaidi vitaendelea kwa wasanii wa filamu, muziki, waandishi wa habari, viongozi wa dini na wanasiasa. Aunt Ezekiel. Risasi Mchanganyiko limepata kuzungumza na baadhi ya wasanii wa sanaa mbalimbali Bongo na kueleza maoni yao kuhusiana na utabiri huo. Wa kwanza kuzungumza alikuwa ni Single Mtambalike ‘Richie’ aliye msanii wa filamu ambaye alisema: “Namwamini Mungu kwa asilimia zote, hata kama kitatokea kifo mbele yetu nina imani kitakuwa na sababu kama ugonjwa na kadhalika, siyo ghafla." SHAMSA FORD "Unajua ibada ndiyo kitu cha kwanza kutuokoa, mimi natoa rai kwa wenzangu wakumbuke kuomba kila mtu kwa imani yake tutashinda tu." AUNT EZEKIEL "Haya yanayotokea inabidi tujifunze na yaliyopita, mimi kwangu naona kama changamoto nyingine. Naahidi kumtukuza Mungu il

MKONO ATOBOA SIRI ZA ZITTO

Image
Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ametoa ufafanuzi juu ya uhusiano wake na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Hatua hiyo ya Mkono imekuja baada ya Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu kumtuhumu kuwa aliwahi kumpa Zitto magari mawili. Katika taarifa yake aliyoitoa jana, Mkono alisema kuna magari mawili yanayohusishwa na Zitto na kuyataja kuwa ni Toyota Land Cruiser na Nissan Patrol. "Sijawahi kumpatia Zitto magari, isipokuwa kuhusu hiyo Land Cruiser, nilitoa msaada wa kuwanusuru Zitto na Mbowe (Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe), kule Tarime kwenye msiba wa marehemu Chacha Wangwe (aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Chadema), kwani walikuwa wakitishiwa kupigwa." Alisema alitoa gari hilo lililokuwa na Bendera ya Bunge liwachukue Mbowe na Zitto na kuwapeleka Mwanza... "Walipofika Mwanza, Zitto aliwasiliana na mimi kuhusu ununuzi wa gari hilo na kupitia wakala wangu nilimuuzia," alisema Mkono. Kuhusu Nissan Pa

HIVI NDIVYO MSANII MEZ B ALIVYOUMIZWA USONI NA KISU NA MTU ASIYEFAHAMIKA JIONEE

Image
Taarifa za msanii Mez B kushambuliwa na mtu asiemfahamu wala kuwa na ugomvi nae usiku wa Jumamosi akiwa maeneo ya Sinza ni miongoni mwa stori zilizosambaa sana toka jana. Mez B kwenye interview fupi na millardayo.com amesema amepata majeraha mengi maeneo ya usoni na anasema kwamba kuna kisu alikikwepa kikielekezwa shingoni wakati aliporushiwa visu mbele ya Mabaunsa wa sehemu ya burudani Sinza waliokua wakishuhudia bila kutoa msaada wowote. Mez B tayari ameshaifikisha hii ishu kwenye vyombo vya sheria ili kila kitu kikae kwenye mstari kuhusu mtu huyu aliemshambulia ambae Mez anadai alimkuta mahali anasubiria kufungiwa chips zake ndio akaanza kutukana watu mbalimbali ikiwemo Serikali na Mez B mwenyewe. Baada ya hapo wakati Mezi akiondoka, baunsa mmoja kwenye eneo hilo alimwita na kumwambia haiwezekani huyu jamaa akutukane hivihivi hebu njoo tumuulize, tofauti na alivyotarajia… Mez anasema yule Baunsa ndio alimfata yule mchoma visu na kumwambi

ANGALIA PICHA YA UNYAMA...KIKONGWE ACHINJWA KAMA KUKU HUKO KAHAMA,,,,UCHAWI WAHUSISHWA..!

Image
I  Mwanamke mmoja Alifahamika kwa jina la Milembe Jengamalulu anayekadiriwa kuwa na  umri wa miaka 50-55, mkazi wa Ulowa no 4 wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga umri wa miaka 50-55, amefariki dunia baada ya kuchinjwa na watu ambao mpaka sasa hawajajulikani. MWILI wa Marehemu Milembe Jengamalulu ukiwa eneo la tukioKwa mujibu wa majirani tukio hilo limetokea katika mkesha wa mwaka mpya majira ya saa moja usiku, nyumbani kwake maeneo ya Ulowa no 4 ambapo kikongwe huyo alikuwa anaishi na mtoto wake wa kiume. Wameeleza kuwa Wakati tukio hilo likitokea, mtoto wake wa kiume ambaye hakutajwa jina lake (miaka 34-40) alikuwa ameenda kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya akiwa na mkewe maeneo ya Ulowa no 5, na wote walirudi nyumbani majira ya saa 10 na usiku ndipo walikuta mwili wa marehemu Milembe Jengamalulu. Baada ya kuukuta mwili huo ukiwa nje ya nyumba huku ukiwa umetapakaa damu nyingi, huku ukionesha kuwa amechijwa kwa kutumia panga na shoka, walitoa taarifa kwa m

Shukuru kwa kupewa afya nzuri, tazama ugonjwa wa ajabu unavyomtafuna mtu huyu...

Image
Wakati mwingine binadamu huwa tunajisahau kumshukuru Mungu kwa afya nzuri aliyotupa bila kujua kuwa wapo watu duniani wanaoteseka mno. Mwanaume huyu wa nchini Indonesia ambaye  mwili wake umefunikwa na upele mkubwa ameiomba dunia imsaidie kumponya tatizo lake ambalo sasa limesababishwa ashindwe kuona vizuri baada ya madude hayo kufunika macho yake. Slamet, anayetokea East Java, anaaminika kuwa na ugonjwa uitwao neurofibromatosis. Kwa mujibu wa kaka yake, Suwadi, ndugu yake huyo mwenye miaka 59 aliondolewa kitu kama jipu kwenye kiuno chake mwaka 1991. Lakini miezi sita baadaye vipele vingine vikaanza kutoka usoni na kwenye mwili wake.   Miaka kadhaa baadaye hali hiyo imekuwa isiyovumilika kwakuwa Slamet husikia maumivu mwilini muda wote. Majipu hayo kwa sasa yamekuwa mengi kiasi cha kuziba pua zake na kumfanya apumue kwa tabu.    

MWENYEKITI WA CHADEMA TEMEKE ALIYEPIGWA NA KUUMIZWA USIKU WA KUAMKIA LEO AHAMISHIWA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAID

Image
  MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA TEMEKE JOSEPH YONA AHAMISHIWA MOI MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Temeke na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Joseph Yona (33), aliyepigwa na watu wasiojulikana kisha kutupwa kwenye eneo la Ununio Kawe jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo, ametolewa wodini katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kuhamishiwa katika Kitengo cha Mifupa Muhimbili. ShareThis Copy and Paste

MWANAMKE (MTANZANIA) ANASWA NA MADAWA YA KULEVYA UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU NYERERE

Image
 PICHA KUTOKA MAKTABA MWANAMKE wa Mtanzania, Salama Omari Mzale , amekamatwa jana- katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam akisafirisha dawa za kulevya kwenda nchini China. Hadi leo saa nane mchana amekwishatoa kete 27 kwa njia ya haja kubwa.   Mwanamke huyo mkazi wa Mbagala Kongowe, anaendelea kutoa kete hizo katika vyoo vya Uwanja wa Ndege.   Hadi saa 1 jioni (mida ya Tanzania); mwanamke huyu amekwishashusha kete 63

MWANAMUZIKI WA NYIMBO ZA INJILI ATENGENEZA VIDEO YAKE YA MUZIKI HUKU AKIWA MTUPU KAMA ALIVYOZALIWA NOOMA KWELIKWELI..! CHEKI HAPA MAPICHA 50 YA AIBU TUPU

Image
''Maheeda'' Sijui alikusudia nini Dada huyu?..