Posts

PICHA ZA UCHAFU WA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WAKIWA HOSTEL ZAVUJA ... TAZAMA PICHA ZA MAUTUPU ZAIDII

Image
MWANGALIE KWA MAKINI INAWEZA KUWA NDUGU YAKO, RAFIKI AU JAMAA YAKO, UKAJARIBU KUMFUNZA ADABU   ELIZA NINI MAONI YAKO MDAU?

MWANAMKE ANAYEDAIWA NI MTANZANIA AKAMATWA NA TANI 1,1 KG ZA MADAWA YA KULEVYA NCHINI CHINA JIONEE

Image
Nchi ya Tanzania imeingia tena kwenye headline kuhusiana na suala la Madawa ya kulevya baada ya kukamatwa tena kwa Mtanzania mwingine akisafirisha Madawa hayo toka Thailand kuelekea Macao nchini China jumanne iliyopita. Mtanzania huyo ni msichana ana jumla ya umri wa miaka 28 aitwae  Jackie Clief alikamatwa na kilo 1.1 za dawa za kulevya aina ya Heroin huko Macao nchini China Dawa hizo zimekutwa tumboni mwake baada ya kushtukiwa na wana usalama kisha kufanyiwa X-ray ambapo baada ya kufanyiwa X-ray alikutwa na jumla ya vidonge 66 vikiwa na thamani ya dola za kimarekani 137,72. ANGALIA PICHA ZAIDI Msichana huyu aliliambia Jeshi la Polisi nchini China kwamba alikua akisafiri kuelekea Guangzhou ambao ni mji ulio chini ya jimbo la Guangdong huko China,Inasemekana Msichana huyu amewahi kushiriki video mbalimbali ikiwa ni pamoja na video ya Nataka kulewa ya Diamond. Hii ni picha imepigwa akiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari huko Macao.

SHOW YA SHILOLE UINGEREZA NI LAANA TUPU, NI SHIDA MWANA WHANE

Image