MWANAMKE ANAYEDAIWA NI MTANZANIA AKAMATWA NA TANI 1,1 KG ZA MADAWA YA KULEVYA NCHINI CHINA JIONEE


a3853fb3862d450baca5a4282c0c0d81
Nchi ya Tanzania imeingia tena kwenye headline kuhusiana na suala la Madawa ya kulevya baada ya kukamatwa tena kwa Mtanzania mwingine akisafirisha Madawa hayo toka Thailand kuelekea Macao nchini China jumanne iliyopita.
Mtanzania huyo ni msichana ana jumla ya umri wa miaka 28 aitwae  Jackie Clief alikamatwa na kilo 1.1 za dawa za kulevya aina ya Heroin huko Macao nchini China
Dawa hizo zimekutwa tumboni mwake baada ya kushtukiwa na wana usalama kisha kufanyiwa X-ray ambapo baada ya kufanyiwa X-ray alikutwa na jumla ya vidonge 66 vikiwa na thamani ya dola za kimarekani 137,72.
fe5c726676e94e5fadbe9356a9ec599f
Msichana huyu aliliambia Jeshi la Polisi nchini China kwamba alikua akisafiri kuelekea Guangzhou ambao ni mji ulio chini ya jimbo la Guangdong huko China,Inasemekana Msichana huyu amewahi kushiriki video mbalimbali ikiwa ni pamoja na video ya Nataka kulewa ya Diamond.
Hii ni picha imepigwa akiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari huko Macao.
0f5d40554df94bcb9c99d45b4ef29b6a
Jack Cliff mwenyewe ndio huyu hapa

Comments

Popular posts from this blog