Ester Bulaya Ameandika Haya Maneno Baada Ya Tetesi Kuhusu Kuondoka CCM

Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga. 

Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.
Chanzo: Nipashe

Comments

Popular posts from this blog