COLETHA wa bongo movie apiga picha ya uchi na kuitupia mtandaoni.


Picha  za  uchi  zimeendelea  kuwa  fasheni  kwa  wasanii wa  kike  Tanzania  ambao  wengi  wao  wanaamini  kuwa  bila  kujianika  uchi  hawawezi  kuuza  filamu  zao...

Huyu  ni  Coletha Raymond  'Koleta' , mrembo  niliyedhani  anajiheshimu  kumbe  naye  chenga  tupu....
Hii  ni  picha  ya  kiuno  chake  kilichopambwa  shanga  za  kila  rangi  ambayo  imevujishwa  na  yeye  mwenyewe.....Nadhani  hiki  kiuno  kipo  sokoni  kinauzwa.....
 
Una  maoni  gani?  Tupia  maoni  yako  hapo  chini.

Comments

Popular posts from this blog