Posts

TASWIRA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI BURUNDI

Image
    Images credit: Reuters / AFP

RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA LEO

Image
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kuifariji  familia ya Marehemu Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita TemekeChang'ombe jijini Dar es salaam jioni ya leo April 27, 2015. Marehemu anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam baada ya Swala ya Alasiri katika msikito wa Mtoro, baada ya kupata heshima zote za kijeshi asubuhi yake katika makao makuu ya Jeshi Upanga, Dar es salaam. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia wakati Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha  maombolezo alipokwenda kuifariji familia ya Marehemu Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita Temeke Chang'ombe jijini Dar es salaam jioni ya leo April 27, 2015. Marehemu anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam baada ya Swala ya Alasiri katika msikito wa Mtoro, baada ya kupata heshima zote za kijeshi asubuhi yake katika makao makuu ya Jeshi Upanga, Dar es

MANNY PACQUIAO ATUA LAS VEGAS TAYARI KWA PAMBANO LAKE LA KIHISTORIA DHIDI YA FLOYD MAYWEATHER

Image
Manny Pacquiao akiwasalimia mashabiki wake waliofika kumpokea alipowasili katika Hoteli ya Mandalay Bay jijini Las Vegas jana usiku. Basi lililobeba wageni na timu ya walimu wa mafunzo wa Pacquiao likielekea Las Vegas jana mchana. Pacquiao akiwa amembeba mwanaye aitwaye Israel baada ya kushuka kwenye basi lake.… Manny Pacquiao (36) na Floyd Mayweather (38) watazichapa usiku wa Jumamosi, Mei 2, mwaka huu kwenye Ukumbi wa MGM Grand uliopo Las Vegas, Marekani. Manny alitupia picha hii katika akaunti yake ya on Instagram akiwa kwenye basi lake la kifahari wakati akielekea Las Vegas akitokea Los Angeles alipokuwa ameweka kambi. Pacquiao akijifua kwa mara ya mwisho jijini Los Angeles kabla ya kuelekea Las Vegas. Gari lililokuwa limembeba Manny likiwa limezingirwa na mashabiki wake nje ya ukumbi wa mazoezi huko Los Angeles wakitaka kumuaga kabla ya kuelekea Las Vegas. Waendesha pikipiki wenye bendera za

UCHAMBUZI WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015

Image
UTANGULIZI Sheria hii ya Makosa ya Jinai kupitia Mtandao, 2015 ina mapungufu mengi. Mapungufu hayo yamebainika kuwa, kama sheria ikipita yanaweza kuifanya nchi ikawa ni kati nchi adui za matumizi ya mtandao wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano duniani. Watanzania wote wanatakiwa kufahamu kuwa muswada ukipita utatumika nchini kote yani Tanzania Bara na Visiwani. Watanzania walio wengi hawafahamu Sheria hii inawahusu kwa namna gani; lakini kwa lugha rahisi ni kuwa itamuathiri mtu yeyote anayeweza tumia Mtandao wa Intaneti kwa kutimia kifaa chochote iwe kompyuta kubwa au vifaa vyenye uwezo wa kufanya kazi kama kompyuta kama Simu za mikononi, saa, televisheni na vifaa vingine vinavyoendana na hivyo. Malengo ya Sheria hii ni kuainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi ya ushahidi wa kielektroniki na

SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YATANGAZA AJIRA ZA WALIMU 30,000

Image
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini (kulia) akizungumza jambo. Dar es Salaam. Serikali imetangaza ajira mpya za walimu 31,056 wanaotakiwa kuanza kazi kuanzia Mei Mosi, mwaka huu. Mbali na walimu, pia imetangaza ajira kwa mafundi sanifu wa maabara 10,625 ambao pia wataanza kazi sambamba na walimu hao.Akizungumza jana, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini alisema Serikali imetenga Sh9 bilioni kwa ajili ya posho za kujikimu na nauli kwa walimu na mafundi sanifu maabara. Alisema kiasi cha fedha kilichotengwa ni posho ya siku saba na fedha za nauli ambazo zinatakiwa kulipwa na halmashauri ambazo ndiyo mwajiri. Alisema posho hizo zinatakiwa kulipwa ndani ya siku saba na kwamba isizidi siku 14 tangu kuripoti kwa mwalimu katika kituo cha kazi. “Hatutapenda kusikia malalamiko kutoka kwa walimu hao, halmashauri zijipange kuwapokea waajiriwa wao wapya,”

MAGAZETI LEO JUMANNE TAREHE 28.4.2O15

Image
  MAGAZETI YA UDAKU LEO   MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

UMESIKIA HII YA MTOTO WA MIAKA 13 KUKUTWA MTUPU USIKU AKIWANGA, UNAAMBIWA ANAFUNGUA HADI KUFULI ZA MADUKA KICHAWI

Image
Mtoto mwenye umri wa miaka 13 amekamatwa usiku akiwa uchi kwa madai kuwa alikuwa akiwanga katika duka moja lililopo kijiji cha mpunguti Mkoa wa Mbeya. Mashuhuda wa tukio hilo walidai kuwa mtoto huyo ni mzoefu kwa kuwa wafanyabiashara wamekuwa wakipotelewa na fedha katika mazingira ya utata ambapo walitega mtego ili kubaini upotevu huo na kumbaini akiingia kwenye duka moja ambalo linadaiwa kuzindikwa. Taarifa za awali kutoka kwa wakazi wa eneo hilo walidai taarifa za mtoto huyo ambaye alikuwa anaishi na bibi yake aliyemfukuza kutokana na tuhuma za ushirikiana na kukimbilia msituni kutokana na kukosa pa kuishi. Inasemekana mtoto huyo aliishi misituni kwa zaidi ya miezi mitano ndipo aliporejea na kuolewa lakini ndoa yake haikudumu kutokana na maisha kuwa magumu na akaamua kuanza mbinu za kichawi kwa kuibia watu. Alianza kufungua kufuli za maduka kwa kutumia kidole gumba huku akiwa uchi na alinaswa na kupelekwa kwenye ofisi za kata ambapo anashikili

INAUMA SANA MTOTO AFANYIWA BETHIDEI, AFARIKI DUNIA ILIKUWA NI BAADA YA KUKATA KEKI.

Image
Inauma sana! Mtoto mzuri wa kiume aitwaye Jumanne Mwinyimbegu, mwenye umri wa mwaka mmoja amefariki dunia ghafla muda mfupi baada ya kufanyiwa sherehe ya kutimiza mwaka mmoja ‘bethidei’. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri nyumbani kwa wazazi wa Jumanne Mtaa wa Saadan Kata ya Mwembesongo mkoani hapa mwishoni mwa wiki iliyopita na kuibua simanzi nzito kwa kuwa alikuwa haumwi na ilikuwa muda mfupi baada ya kukata keki, kulishwa na kuimbiwa ‘happy bethidei tuyuuuuu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa uchungu mama mzazi wa mtoto huyo, Khadija Salum alisema: “Inaniuma sana jamani. Jumanne ni mtoto wangu pekee ambaye ametimiza umri wa mwaka mmoja. Nikaona nimfanyie ‘bethidei’. “Niliwashirikisha majirani zangu, cha ajabu baada ya sherehe kukamilika majira ya saa 3:00 usiku mwanangu alijisikia uchomvu, nikaenda kumlaza lakini hakuamka tena. “Nimemkimbiza kwenye Zahanati ya Ngeta (Mwembesongo), nilipofika manesi walimcheki wakaniambia mbona amekufa muda mrefu, nikarudi

KAMPUNI YA KICHINA YANASWA IKITENGENEZA CONDOM FAKE ONA HAPA HABARI KAMILI LIVE!!

Image
The demand for goods of reputable or status-oriented brands has always been high, if not always growing. This is what makes the goods vulnerable to being counterfeited. It seems that condoms are not exempt from this Police in Shanghai on Tuesday uncovered a manufacturing workshop making bogus Durex condoms which were to be sent to Kenya, reported Kenya Today . The fake condoms were reportedly sold online under well-known brands like Durex and Jissbon to Kenyan hotels. About 3 million condoms which were being sold at $0,05 each are reported to have been confiscated. In addition to being of an inferior quality, the condoms are said to contain an offensive smell, according to Chinese police. While we may be accustomed to seeing rip-offs of popular labels being sold on street corners and in some shops, condoms are obviously are different matter. This ought to be seen as a crime against humanity!