Posts

Je unasumbuliwa na tatizo la kutodumu na mpenzi mmoja?fanya haya kuepuka tatizo

Image
  Ni matumaini yangu marafiki mtakuwa mko poa na mnaendelea na majukumu ya kazi za kila siku. Kama kawaida kupitia safu hii tunapata kujifunza yahusuyo mapenzi. "Ninapoandika makala haya, najaribu kujenga picha kwa vijana wangu wakali kunako anga la muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba na Judith Wambura ‘Jide’ walipoimba; hakunaga mapenzi yale… kupendana ni zama za kale!... siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poapoa tu ". Kizazi cha zamani hakikupata shida sana katika hili. Kilisubiri muda muafaka ufike ndipo mtu athubutu kufanya maamuzi ya kuingia katika uhusiano ambapo ndani ya muda mfupi basi ndoa ilichukuwa nafasi. Kizazi cha sasa hivi, kimetawaliwa na tamaa, vijana wanaingia katika uhusiano wakipelekwa na tamaa za kimwili pasipo kutazama umri na madhara ya kukurupukia mapenzi. Matokeo yake sasa, ndiyo pale unapoona vijana wanateseka katika kumpata mke au mume wa maisha. Ukweli ni kwamba, tatiz

ACHA USHAMBA, JIONGEZE! KWA VIGEZO HIVI KWELI ANA SIFA ZA KUWA MPENZI WAKO?!

Image
NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha nanyi marafiki Jumamosi ya leo. Mungu ni mwema sana ndiyo maana anazidi kutubariki kila kukicha. Tunakutana tena katika darasa letu huru, tunafundishana masuala yahusuyo uhusiano wa mapenzi. Leo nimependa tujadili mada hii ambayo naamini inagusa watu wengi. Wengi wetu tunakubaliana kwamba tumekutana na jambo hili kwa nyakati tofauti.Unampigia simu mpenzi wako hapokei, meseji hajibu na wala hana habari na ujumbe wako lakini ukikutana naye na kumuuliza kama anakupenda anakwambia anakupenda .  Tatizo hili linawapata watu wote lakini mara nyingi zaidi limekuwa likiwatesa wanawake. Wanaume wengi wanapoingia kwenye uhusiano wanakuwa mafundi sana wa kutuma meseji.Tena meseji zile zenye kumfanya mwanamke ajione mwenye thamani ya hali ya juu.  Wanakuwa mahodari wa kuandika maneno matamu, wanapiga simu mara kwa mara. Hicho ndicho kipindi huwa wanapiga simu kuuliza kama wapenzi wao wamekula au wamelala au kuuliza ‘unafanya nini sa hiv

ALICHOKISEMA AY KUHUSU MAHUSIANO YAKE YA SIRI NA MSANII AMANI WA KENYA

Image
  So apparently AY and Amani were an item. And for three long years too! Who knew? The Tanzanian celebrity revealed this to the Standard Digital adding that it was the best relationship he has experienced so far.The Kenyan beauty Amani apparently was quite straightforward and although AY did not state the reason for their break-up, he had nothing but good things to say about his ex-girlfriend. Amani who is set to wed her Nigerian boyfriend must have been very frank with her then boyfriend and fellow artiste, since AY said that his relationship with Amani revealed to him how straight-forward Kenyan women are.He continued to say that at no one time in the three years they were dating did Amani ever mix business with pleasure. Talk about an ex who does not hate. If asked if he was seeing anybody, he said he wasn’t at the moment. So, good news for the ladies; the Tanzanian hunk is up for grabs.

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATANGAZWA

Image
Ikulu imeitisha mkutano wa ghafla na waandishi wa habari muda huu na mkutano huo utaanza ndani ya nusu saa kuanzia sasa. Taarifa zinasema ni kwamba mkutano huu umeitishwa ili kutangaza mabadiliko madogo ya mawaziri na mawaziri hawa wanapaswa kuapishwa kesho kabla ya Rais Kikwete kuondoka kwenda Davos Uswisi kesho hiyo hiyo jioni. Tutakujuza kinachoendelea Ikulu UPDATES: Katibu Mkuu kiongozi anasoma majina ya mawaziri Walio teuliwa 1. George Simbachawene- Waziri Nishati 2.Mary Nagu-Waziri wa Nchi mawasiliano na Uratibu 3.Christopher Chiza-Waziri uwezeshaji na Uwekezaji 4.Halson Mwakyembe-Ushirikiano wa afrika mashariki 5.Lukuvi-Ardhi Nyumba na Makazi 6.Steven Wasira-Kilimo chakula na Ushirika 7.Samwel Sitta -Wizara ya Uchukuzi 8.Jenista Muhagama-Sera na uratibu wa Bunge Mawaziri Kamili George Simbachawene- Waziri wa Nishati na Madini Mary Nagu -Waziri wa nchi Mahusiano na Uratibu Harrison Mwakyembe - Waziri wa Afrika Mashariki. Wiliam Lukuvi - Waziri wa Ar

MWENYEKITI AKATWA KICHWA NA SEHEMU ZA SIRI KISHA KUWEKWA KWENYE SUFURIA MKASA MZIMA

Image
Ni Tukio la kuskitisha sana ktk kijiji cha songambele wilayan MLELE mkoan KATAVI watu wasiofahamika wamemvamia mwenyekiti wa kijiji cha songambele na kisha kutenganisha kichwa na kiwiliwili na pia sehemu zake za siri na kisha kukata mkono wake mara mbili baada ya kufanya kitendo hicho walichukua viungo walivyokata kutoka kwa mwenyekiti huyo na kisha kuvitia kwenye sifuria wakaweka maji na kisha kubandika kwny moto n kuanza kuvipika baada ya Tukio Hilo watu hao walitokomea sehemu isiyofahamika polisi wilayan MLELE wanaendelelea n uchunguz kubaini wahusika wa tukio Hilo. Tukio Hilo limetokea leo majira ya saa saba ucku hayo ndo yaliyojir wilayan kwetu MLELE

RAIS MSTAAFU MWINYI USO KWA USO NA LOWASSA MONDULI

Image
Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa na mkewe Mama Regina Lowassa wakimkaribisha Rais mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi katika sherehe za miaka 20 ya shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai,leo Jumamosi,24 January Monduli Mlimani, kata ya Engutoto. Rais mstaafu wa awamu ya pili Al hadji Ali Hassan Mwinyi akizindua moja ya sanamu za kumbukukumbu ya waanzishi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai ambayo imeadhimisha miaka 20 toka kuanzishwa kwake,huko Monduli Mlimani, leo jumamosi 24 January. Mke wa mbunge wa Monduli mama Regina Lowassa akipanda mti wa kumbukumbu ya miaka 20 tokea kuanzishwa kwa shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai wilayani Monduli leo jumamosi January 24.Anayeshuhudia ni mumewe Mh Edward Lowassa na mbunge wa Viti maalum(ccm) mkoa wa Arusha Mhe Namelok So

BREAKING NEWS: WAZIRI PROFESA MUHONGO ATANGAZA KUJIUZULU

Image
Waziri wa Nishati na Madini nchini Tanzania Professor Sospeter Muhongo ametangaza rasmi kujiuzuru wadhifa wake hii leo kufuatia kashfa ya akaunti ya Tegera Escrow. Taarifa kamili itawajia hivi punde! Toa maoni yak hapo chini tafadhali!

ALICHOKISEMA ZARI; UTAKUTANA NA KILA AINA YA UBAGUZI WAKATI UKIWA MREMBO NA UNA MAFANIKIO

Image
Zari the Boss Lady continues to lash out to her haters. Below is what she wrote... " When u are beautiful and successful..U experience a different type of 'racism'and it brings jealousy,hate & a new level of people trying to bring u down.... gotta keep that head up! JE,WEWE MDAU WETU UNA MAONI GANI KUHUSIANA KAULI YA BOSS LADY"ZARI"

SISTA WA KANISA KATOLIKI SASA AWA PADRI....HII YATAJWA KUWA IMEVUNJA REKODI

Image
 Pamoja na kwamba sheria za kanisa Katoliki haziruhusu mwanamke kuwa padri lakini mwanamke aliyetambuliwa kwa jina la  Georgia Walker  amepewa cheo cha upadri katika jimbo la Kansas nchini Marekani,tukio ambalo ni la kwanza kwa kanisa katoliki.   Mwanamke huyo mwenye miaka 67 ambaye awali alikuwa sista alipewa daraja hilo jumamosi iliyopita lakini upadrisho wake uliingia kwenye mzozo baada ya uongozi wa kanisa lake kudai hautambui kuapishwa kwake.     Kutokana na hatua hiyo sista huyo anaweza kutengwa na kanisa kutokana na ukweli kuwa sheria za kanisa zinasema mwanamke hawezi kuwa padri.   Lakini kwa upande wake alipingana nao na kusema haoni sababu za kukataliwa kuwa padri kwani Yesu alifundisha watu wote bila kubagua jinsia wala hadhi zao.   Ibada ya upadrisho iliongozwa na Askofu Bridget Mary Meehan wa Chama cha Mapadri wanawake wa kanisa Katoliki na wakati akipewa upadri hakuonyesha hofu yoyote mbali na tishio lakutengwa na kanisa.

DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, HOSTS NEW YEAR SHERRY PARTY FOR HEADS OF DIPLOMATIC MISSIONS AND INTERNATIONAL ORGANISATIONS

Image
President Dr. Jakaya Mrisho kikwete talks to  heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 STATE HOUSE PHOTOS President Dr. Jakaya Mrisho kikwete addresses heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 President Dr. Jakaya Mrisho kikwete addresses heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 : President Dr. Jakaya Mrisho kikwete in a group photo with heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 …………………………………………………………………………………………… Honourable Bernard Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation; Your Excellency Juma Alfan Mpango, Ambassador of the Democratic Republic of Congo and the Dean of the Diplomatic

RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA CHALINZE

Image
 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (katikati) akikabidhi gari jipya la kubebea wagonjwa (Ambulance), kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,Dk. Mastidia Rutaihwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Chalinze, katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Chalinze jioni hii. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa kituo hicho, Dk. Bamba Victor na Diwani wa Kata ya Bwilingu, Nasa Karama.  Muumini wa Dini ya Kikiristo, Heema Said akitoa neno la shukrani kwa Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Kikwete 9aliyevaa koti kushoto) alipokabidhi ambulance hiyo. Ridhiwani alisema kuwa yeye hivi sasa ni mbunge wa vyama vyote jimbo humo hivyo ambulance aliyoitoa itoe huduma kwa wakazi wote wa jimbo hilo bila kubagua watu kutokana na itikadi zao. Pia aliuasa uongozi wa kituo hicho cha afya na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuhakikisha wanatunza vizuri gari hilo.  Dok Rtaihwa akimkabidhi ufunguo wa gari hilo Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Cha

Jina la Kajala Kuonekana Kwenye Soda za Kopo za Coca-Cola

Image
Mwigizaji wa filamu mwenye sura ya upole na umbo la Kiafrika, Kajala Masanja ni moja kati ya watu ambao majina yao yataonekana kwenye makopo mapya ya kinywaji cha Coca-cola.   Jana  mchana, wawakilishi wa coca-cola walimtembelea Kajala nyumbani kwake na kumpatia  zawaidi ya kinywaji hicho kikiwa kwenye chupa yenye jina lake.   Endelea kuwa nasi kujua kinanani wengine wamebahatika kwenye hili.   TUPE MAONI YAKO KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU .

Chuchu Hans Afungukia madai ya kuachana na Mpenzi wake Vicent Kigosi ‘Ray’

Image
Staa  wa Filamu Bongo, Chuchu Hans juzikati alifungukia madai ya kwamba ameachana na mchumba wake Vicent Kigosi ‘Ray’, akaeleza kuwa, hakuna ukweli wowote juu ya hilo.   Chuchu alifikia uamuzi wa kufafanua juu ya madai hayo juzi kufuatia tetesi zilizokuwa zimeenea kwamba yeye na kipenzi chake huyo wametibuana na sasa kila mtu kimpango wake. Akifungukia juu ya uvumi huo Chuchu alisema: “Kutakuwa na watu wanaosambaza uongo huo, huwezi kuamini muda si mrefu nilikuwa na baby wangu Ray, tukawa tunashangaa tu juu ya umbeya huo.   “Nahisi watu wamechukulia kwamba tumeachana baada ya mimi kuamua kubadilisha jina nililokuwa nikilitumia kwenye akaunti yangu ya kwanza ya Instagram, nimetoa neno The Greatest na kubakiza jina langu, ilikuwa ni uamuzi tu.   “Siwezi kuachana na Ray na hata kama ikitokea tumeachana naamini kabisa Ray hawezi kurudiana na Johari wala Mainda, hao wanaosema eti kaniacha mimi karudiana na Johari wanachemka,” alisema Chuchu.

Wife shot her husband in the chest when he tried to surprise her with breakfast in bed - and she opened fire on bedroom door

Image
Almost tragic: Tiffany and Zia Segule avoided a catastrophic morning on Friday when Zia tried to bring his wife breakfast in bed as a surprise Investigation: Police in Fayetteville, North Carolina have said they have opened an investigation into the shooting Realizing to her horror what had happened, Tiffany Segule called 911 and when paramedics arrived her husband was talking and described as responsive in the ambulance. He is currently stable and is expected to be released from hospital in North Carolina soon. Police have said that Segule may have been spooked and trigger happy because of a number of recent home invasions in the neighborhood. 'She was doing what she felt was right and to defend herself at that time,” said Antoine Kincade with the Fayetteville Police Department to WTVR. Lucky: Zia Segule is recovering from the shooting on Friday after his wife, Tiffany, (right) opened fire 'She woke up. She armed herself and she fired a shot t

MHESHIMIWA SUGU ALIVYOUMIA BAADA YA KUPATA AJALI JANA KITONGA

Image
Mr. Sugu akiwa Hospitali. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi akifanya mawasiliano kwa ndugu na jamaa mara baada ya kupata ajali mbaya na kunusurika kifo,ajali hiyo imetokea eneo la Mlima Kitonga Mkoani Iringa mchana wa leo.kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa Mh. Mbilinyi alikuwa safarini akitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar akiwa na jamaa zake Wanne katika gari hilo lenye namba za usajili T 148 BQE. katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha. Gari linavyoonekana kwa karibu. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi (watatu kushoto) akizungumza namna hali ilivyokuwa mpaka kupata ajali hiyo. Gari hiyo inavyoonekana.

ANGALIA PICHA VICTOR VALDES ATAMBULISHWA RASMI MANCHESTER UNITED

Image
Victor Valdes ametambulishwa rasmi kama mchezaji wa Manchester United ambapo kipa huyo wa zamani wa Barcelona amesema ana furaha kubwa kujinga na Mashetani Wekundu, timu yenye mvuto wa aina yake. Valdes mwenye umri wa miaka 32, amesaini mkataba wa miezi 18 huku kukiwa na kipengele kinachoweza kurefusha mkataba huo kwa mwaka mmoja zaidi. “Kwa mara ya kwanza nilipokuja hapa kwenye uwanja wa mazoezi - Aon Training Complex, nikaona maandishi makubwa mekundu ya Manchester United.  “Kwangu mimi ilikuwa kama njozi. Nimecheza Barcelona kwa miaka mingi, ni klabu kubwa na niliipenda kwa maisha yangu yote. “Nadhani hali hiyo imejirudia tena hapa. United ni klabu kubwa duniani na ina mashabiki wengi kila kona. “Nilifanya kazi na Louis van Gaal FC Barcelona. Kupata nafasi ya kufanya naye kazi tena hapa Manchester United, ni njozi iliyotimia,” alisema Victor Valdes.