KARIBU UJUMUIKE NA WAZAZI WENZAKO KWENYE JUKWA LA KUJADILI MALEZI YENYE MALENGO


Ni ukweli usiopingika kuwa waazazi wote hupenda kuona watoto wao wakikua katika maadaili yanayopendeza na ikiwemo kufaulu vizuri katika masomo yao na hata wafikiapo umri wa kujitegemea wawe vijana wenye maono bora.
Hapo nyuma hakukuwa na mitaala ya kuweza kuwasaidia wazazi kukuza watoto vile inavyotakikana, hivyo ilipelekea watoto wengi kushindwa kufikia malengo yao na lawama walitupiwa wazazi wao.
Njoo ujiunge sasa na wazazi wenzako kwa mara ya kwanza Tanzania inakuletea (Malezi yenye malengo) ni jukwaa la majadiliano,maoni,na njia mbadala za kuwalea watoto wetu.
Nafasi ni chache jisajili mapema
Karibuni sana.
Wazungumzaji watakuwa Mrs Grace Makani Tarimo kutoka  Grace Inc Ltd na Dr. Elie Waminian (PHD) Kutoka Marekani

Namba ya simu 0754-46174
11/06/2016.
Hyatt Regency Hotel

Comments

Popular posts from this blog