DIAMOND PLATINUM ALIVYOPOKELEWA AIRPORT AKITOKEA CHINA


Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' (katikati) akilakiwa na mama yake mzazi, Sanura Kassim 'Sandra' alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini China leo.
Mama Diamond akisalimiana na rafiki wa Diamond aliyetua naye leo.…
Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' (katikati) akilakiwa na mama yake mzazi, Sanura Kassim 'Sandra' alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini China leo.
Mama Diamond akisalimiana na rafiki wa Diamond aliyetua naye leo.
Diamond akipozi na mama yake mzazi alipowasili uwanjani hapo majira ya saa nane mchana leo.
Bi. Sandra akimlaki Rommy Jones uwanjani hapo.
MSANII mahiri wa Muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' leo ametua nchini akiambatana na ndugu yake pamoja na rafiki yake wakitokea nchini China. Msanii huyo pamoja na alioambatana nao, wamewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere majira ya saa nane mchana ambapo wamelakiwa kwa shangwe na mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim 'Sandra'. Akiongea na Mtandao huu, Diamond ameeleza kuwa alienda nchini China kwa ajili ya mapumziko. Akiwa China, Diamond alikutana na mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu 'Madam' na kuonekana wapo 'close' jambo lililoashiria kuwa wawili hao wamerudiana.
GPL

Comments

Popular posts from this blog