Mgambo Atokomea na Milioni 17 za Ushuru

Mgambo mmoja aliyekuwa akikusanya fedha za ushuru wa maegesho ya malori Igunga Mjini mkoani Tabora, Peter Areray amekimbia na fedha hizo Sh milioni 17,253,000.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, Revocatus Kuuli amethibitisha mgambo huyo kutoroka na fedha hizo alizokuwa amekusanya katika kipindi cha mwaka 2019.

Comments

Popular posts from this blog

PICHA ZA UTUPU ZILIZOPIGWA NA MWANAFUNZI WA UDOM ILI KUTANGAZA SOKO LA MWILI WAKE. TAZAMA HAPA

ZITTO KABWE AWAPONDA LOWASSA NA MAGUFULI