Spika Wa Bunge Apokea Barua Ya Kujiuzulu Kwa Mbunge Wa Monduli


Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai amepokea barua ya kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiuzulu Ubunge wa Jimbo la Monduli kutoka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Julius Kalanga.

Comments

Popular posts from this blog