Mabasi Mawili ya Wanafunzi Yagongana, Dereva Afariki

Muonekano wa basi la shule ya Kivulini baada ya ajali.
Basi la shule ya Nyamunge likionekana baada ya ajali.
Mabasi mawili ya wanafunzi ya Shule za Kivulini na  Nyamunge yamengana uso kwa uso katika Barabara ya Mwanza–Simiyu katika eneo la Nane Nane mkoani Mwanza na kusababisha kifo cha dereva na wanafunzi wanane wa shule hizo kujeruhiwa.

Comments

Popular posts from this blog