Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya watu 10 Kigoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya watu 10 baada ya basi walilokuwa wanasafiria kugonga Treni ya mizigo Mkoani Kigoma huku akitoa maagizo kwa wadau wa usalama kuwachukulia hatua madhubuti kuzuia ajali hizo.

 
 
 
 
Soma taarifa kamili:



Comments

Popular posts from this blog