TAARIFA RASMI YA MAGEREZA KUHUSU KUACHIWA KWA LULU

Taarifa rasmi ya Jeshi la Magereza kuhusu kuachiwa kwa Muigizaji wa Filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye sasa atatumikia kifungo cha nje kumalizia miaka yake miwili aliyohukumiwa kwa kosa la kumuua Steven Kanumba bila kukusudia.

Comments

Popular posts from this blog