Rais Magufuli apiga marufuku Polisi kuchoma mashamba ya bangi
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
amewataka maofisa wa Jeshi la Polisi na Makamishna wake kutoyafyeka na
kuyachoma moto mashamba ya bangi na badala yake watumie njia za
kiintelijensia kuwababini watuhumiwa, kuwakamata na kuwashughulikia
ikiwa ni pamoja na kuwafikisha katika vyombo vya sheria.
Rais ameyasema hayo leo wakati akiwahutubia wananchi wa Arusha katika
Uwanja wa Amri Abeid baada ya kuzindua kituo cha polisi na nyumba za
polisi mkoani humo.
“Hakuna kitu kinachonikera kama Askari Polisi kwenda kufyeka mashamba ya
bhangi, makamanda wako na askari wako, wasikate mashamba ya bangi,
hawakuajiriwa kufyeka bhangi. Niwashauri tu kwamba, tumieni njia za
kintelijensia, mtawashika tu, kama shamba lipo karibu na kijiji, kamata
kijiji kizima, wazee, vijana, wanawake hata na watoto, ndio wakafyeke
hilo shamba la bhangi.
“Nasema askari wasiende kufyeka bhangi, hawakuajiriwa kufyeka bhangi,
usiwatume askari wako kufyeka bhangi, wataumwa nyoka bure, wamevaa
uniform nzuri, msidhalilishe jeshi kwa kufyeka bhangi, mimi nisingefyeka
bhangi na wa kufyeka wapo.
“Nilimuona Waziri naye yumo anafyeka na kuchoma moto shamba la bhangi,
juzi nikaona tena RPC wa Dodoma naye anafyeka shamba la bhangi na askari
wake, mpaka akachoka anasema hili shamba lililobaki tutalimalizia
kesho. Inashangaza sana, tusijidhalilishe hivyo,” alisema Magufuli.
Aidha, Rais Magufuli amelitaka Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya
Usalama kuendelea kuimarisha hali ya amani nchini na kuwatumikia
Watanzania kwa maendeleo ya Taifa.
Msichana aliyefahamika kwa jina la Seche Mautamu, amebainika kujiuza kupita mtandao wa kijamii wa facebook kwa kuweka picha zake za utupu. Chini ni picha zake alizozisambaza mtandaoni kupitia account yake ya facebook. Ukienda kwenye profile yakenenda kwenye About utaona AMESEMA anasoma UDOM! - See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2014/03/picha-za-utupu-zilizopigwa-na.html#sthash.f2P9nVLX.dpuf
Ilikuwa asubui Ya kuamkia Leo NiLipo washa sim yangu na kukutana na hiziz picha kwenye group moja hivi whatsapp Jamaa alio zituma inadaiwa kuwa alikuwa na mausiano na Huyu mwanadada aliepiga picha za utupu
huyu ni binti anayejulikana kwa jina la J esca Kikumbi anayesoma chuo kikuu aliyeamua kupiga picha zake na kizonesha facebook [asipokujua alikuwa na malengo gani? NINI MAONI YAKO NDUGU MDAU WETU
Comments
Post a Comment