Muigizaji wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amedaiwa kusababisha mke
wa prodyuza mahiri Bongo, Paul Matthysse, Samira afungashe virago vyake
tayari kwa kurudi kwao.
Mke huyo wa P Funk amedaiwa kufikia uamuzi huo baada ya mwanaume huyo
kuonekana kurudisha majeshi kiaina kwa Kajala aliyewahi kuwa mchumba’ke
zamani huku picha na video mbalimbali za kimalovee zikivuja.
Mtu wa karibu na mke wa P Funk alivujisha kuwa, Samira amefikia hatua
hiyo baada ya kushuhudia matukio mbalimbali ya P Funk na Kajala na
kukosa majibu yaliyonyooka. “Unajua P Funk kila alipokuwa akielezwa
kuhusu Kajala alikuwa hanyooshi maelezo ingawa machoni alionesha
kumpenda Kajala.
“Mkewe ambaye kwa sasa ni mjamzito, ameishi kwenye kipindi kigumu sana.
Anashindwa kumuelewa P Funk kwani watu kibao wanampigia na kumuambia
wamemuona mumewe akiwa na Kajala,” alidai mtu huyo wa karibu. Akizidi
kushusha data, mtu huyo wa karibu na Samira alidai kuwa, mara kadhaa P
Funk amekuwa akielezwa kuhusu …usaliti wake kwa Kajala lakini alikuwa
akijitetea kwa kutumia kigezo cha kumlea mtoto aliyezaa na Kajala
(Paula).
“Yani Samira alikuwa akimbana P Funk lakini mara kadhaa P (P Funk)
alikuwa anasema hakuna lolote zaidi ya yeye kwenda kumcheki mtoto
hususan anapokuwa shuleni,” alisema mtu huyo.
Akizungumzia picha zilizovuja, rafiki huyo wa Samira alisema shosti wake
alivumilia zile picha za awali zilizomuonesha P Funk akiwa supermarket
na Kajala lakini zilivyokuja kuvuja video wiki hii, ameona isiwe tabu
afungashe virago vyake.
“Hii video ya wiki hii ni balaa, anaonekana kabisa Kajala akiwa mbele ya
gari, P Funk akiwa nyuma ya gari, anainuka na kumbusu Kajala huku mtoto
wao Paula akishuhudia, yani pale ni live bila chenga,” alisema rafiki
huyo wa Samira na kuongeza: “Anaondoka nafikiri itakuwa Jumamosi au
Jumapili ya wiki hii lakini tayari ameshafungasha kila kilicho chake
kwenda kwao Arusha.
Risasi Jumamosi lilivutia waya Samira ambapo alipopatikana na kuulizwa
kuhusu suala la yeye kufungasha virago, alijibu kwa kifupi kwa hasira.
“Ndio…na nyinyi nikiondoka inawahusu nini? Niacheni nimechoka jamani.”
Kajala na P Funk ambao walikuwa wapenzi kabla ya P Funk hajamuoa Samira,
hawakupatikana walipotafutwa juzi lakini hata hivyo, kwa nyakati
tofauti Kajala amekuwa akikanusha kuwa hajarudiana na P Funk na kumtaka
Samira asijishtukie. Samira na P Funk wamedumu kwenye ndoa kwa miaka
kadhaa na kufanikiwa kupata watoto wawili.
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2 BOFYA HAPA PICHA 3 BOFYA HAPA PICHA 4
Picha chafu za msanii nyota wa bongo movie Edward Tem “Nick” zimevuja zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake. Ikumbukwe kwamba wiki kdhaa za nyuma jamaa huyo aliwahi kufumaniwa gesti na msanii mchanga wa kike ambaye ni mke wa mtu na sakata hilo liliishia kituo cha Polisi baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Comments
Post a Comment