JPM Awalilia 12 Waliokufa Ajalini Tabora, Ataka Polisi Kujitathmini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya watu 12 vilivyotokea katika ajali ya basi kugongana na lori Kijiji cha Makomero, Wilaya Igunga mkoani Taborausiku wa kuamkia leo.



Comments

Popular posts from this blog