BREAKING NEWS: Rais Magufuli atengua uteuzi wa mwenyekiti wa NHC

Rais Dkt. John Magufuli

RAIS Dkt. John Magufuli ametengua uteuzi wa mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bi Blandina Nyoni kuanzia leo tarehe 21 Machi 2018.



Comments

Popular posts from this blog