RAMAPHOSA AONGOZA JAHAZI KUMUNG’OA ZUMA MADARAKANI, AMPA SAA 48
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Rais Jacob Zuma. RAIS wa Afrika Kusini Jacob Zuma amepewa saa 48
kujiuzulu, wadhfa wake huo huku Kiongozi mpya wa ANC, Cyril Ramaphosa
akiongoza shinikizo hilo la kumng’oa kiongozi huyo mkongwe barani
Afrika.Kwa mujibu shirika la Utangazaji la Afrika Kusini -SABC- na
vyanzo vingine vya habari, hatua hii inakuja baada ya mlolongo wa
mazungumzo yaliyofanywa na chama tawala cha nchini humo ANC.
Taarifa zinaeleza kuwa, ANC kilifanya mazungumzo marefu baadaye
kuwatuma watu wawili nyumbani kwa Rais Zuma jijini Pretoria kwenda
kumfikishia ujumbe wa chama ana kwa ana ya kwamba Zuma ajiuzulu mwenyewe
au chama kimng’oe madarakani japo mpaka sasa haijulikani kwamba Rais
Zuma alipokeaje ujumbe huo.
Hatua
hii ya ANC inaonekana ndio njia rahisi zaidi ya chama hicho kumng’oa
rais Zuma madarakani badala ya kusubiri utaratibu wa bunge ambao
ungeweza kuchukua muda mrefu na wenye madhara zaidi kwa Chama cha ANC.
Rais Zuma ambaye anakabiliwa na mashtaka kadhaa ya rushwa, alishindwa
uongozi wa chama tawala Desemba mwaka jana.Kiongozi mpya wa ANC, Cyril
Ramaphosa anaongoza shinikizo za kumuondoa Zuma katika nafasi yake hiyo
ya Urais, na hatimaye kushika pia nafasi hiyo.
Ramaphosa ameahidi pia kupambana na rushwa iliyokithiri na kukijenga
upya chama cha ANC, wakati nchi hiyo ikielekea katika uchaguzi mwakani.
CREDIT: BBC
Msichana aliyefahamika kwa jina la Seche Mautamu, amebainika kujiuza kupita mtandao wa kijamii wa facebook kwa kuweka picha zake za utupu. Chini ni picha zake alizozisambaza mtandaoni kupitia account yake ya facebook. Ukienda kwenye profile yakenenda kwenye About utaona AMESEMA anasoma UDOM! - See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2014/03/picha-za-utupu-zilizopigwa-na.html#sthash.f2P9nVLX.dpuf
Ilikuwa asubui Ya kuamkia Leo NiLipo washa sim yangu na kukutana na hiziz picha kwenye group moja hivi whatsapp Jamaa alio zituma inadaiwa kuwa alikuwa na mausiano na Huyu mwanadada aliepiga picha za utupu
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe. Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema hakuna tofauti kati ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa aliyechukua fomu ya kugombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokana na wote kutokuwa na ubavu wa kupambana na ufisadi. Zitto alisema hayo jana katika mkutano mkuu wa ACT- Wazalendo Jimbo la Kigoma Mjini, uliokuwa maalum kwa ajili ya kupiga kura ya maoni ili kupata mgombea wa ubunge wa chama hicho Jimbo la Kigoma Mjini. Alisema katika mazingira ya sasa ya kisiasa nchini, ni ACT-Wazalendo pekee ambacho kinaweza kusimama na kusema kinapambana na ufisadi. Alisema kutokana na chama hicho kuchukia rushwa ndiyo maana kimetoa msimamo kuwa hakiwezi kushirikiana na chama chochote ambacho maadili ya viongozi wake yanatia shaka. Zitto alisema uchaguzi mkuu wa mwaka huu utakuwa mgumu na ushindani m...
Comments
Post a Comment