Kamatakamata ya viongozi wa vyama vya siasa, wakiwemo wabunge leo
Februari1, 2018 imemuibua bungeni Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema),
Mchungaji Peter Msigwa kusema vitendo hivyo ni ukiukwaji wa haki za
binadamu.
Msigwa ameibua hoja hiyo katika kipindi cha maswali na majibu, baada ya
kuulizwa swali la nyongeza akihoji sababu za wanaokamatwa kushikiliwa
kwa muda mrefu katika vituo vya polisi.
“Mimi ni mhanga wa jambo hili napenda kujua msingi wake ni nini, lini mambo haya yatakoma,” amesema.
Mbunge huyo amehoji lini taarifa ya Tume ya Haki za Binadamu ambayo
ilieleza kuhusu kamatakamata itawasilishwa bungeni kwa ajili ya
kujadiliwa.
Akijibu suala hilo, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,
Kazi, Ajira na Walemavu Anthony Mavunde amesema “.., naomba wananchi
wawe watulivu na kujiepusha kufanya mambo yasiyofaa.”
Amesema kwa mujibu wa Katiba, tume hiyo inapaswa kuwasilisha taarifa
zake kwa Waziri mwenye dhamana ya masuala ya haki za binadamu.
Msichana aliyefahamika kwa jina la Seche Mautamu, amebainika kujiuza kupita mtandao wa kijamii wa facebook kwa kuweka picha zake za utupu. Chini ni picha zake alizozisambaza mtandaoni kupitia account yake ya facebook. Ukienda kwenye profile yakenenda kwenye About utaona AMESEMA anasoma UDOM! - See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2014/03/picha-za-utupu-zilizopigwa-na.html#sthash.f2P9nVLX.dpuf
Ilikuwa asubui Ya kuamkia Leo NiLipo washa sim yangu na kukutana na hiziz picha kwenye group moja hivi whatsapp Jamaa alio zituma inadaiwa kuwa alikuwa na mausiano na Huyu mwanadada aliepiga picha za utupu
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe. Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema hakuna tofauti kati ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa aliyechukua fomu ya kugombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokana na wote kutokuwa na ubavu wa kupambana na ufisadi. Zitto alisema hayo jana katika mkutano mkuu wa ACT- Wazalendo Jimbo la Kigoma Mjini, uliokuwa maalum kwa ajili ya kupiga kura ya maoni ili kupata mgombea wa ubunge wa chama hicho Jimbo la Kigoma Mjini. Alisema katika mazingira ya sasa ya kisiasa nchini, ni ACT-Wazalendo pekee ambacho kinaweza kusimama na kusema kinapambana na ufisadi. Alisema kutokana na chama hicho kuchukia rushwa ndiyo maana kimetoa msimamo kuwa hakiwezi kushirikiana na chama chochote ambacho maadili ya viongozi wake yanatia shaka. Zitto alisema uchaguzi mkuu wa mwaka huu utakuwa mgumu na ushindani m...
Comments
Post a Comment