Makamuzi Ya Mapacha Watatu Si Mchezo

Jose Mara akiwajibika jukwaani.
Mpiga besi gitaa wa Mapacha Watatu Vincent Munisi akiwajibika jukwaani.
Chaz Baba Kingunge naye akiwajibika.
Wanenguaji wakifanya yao.
Bendi ya Mapacha Watatu Music Band chini ya Jose Mara usiku wa kuamkia leo ilifanya makamuzi kwenye ukumbi wa Safari Pub, Mtoni Kijichi jijini Dar. Katika onesho hilo Bendi hiyo ilifanya makamuzi ya nguvu ambapo leo Jumamosi itafanya makamuzi Ukumbi wa Meeda uliopo Sinza Mori jijini Dar.

Comments

Popular posts from this blog