Breaking News: Tambwe Hizza wa Chadema Afariki Dunia
Kada wa Chadema, Tambwe Hizza, enzi za uhai wake.
Kwa mujibu wa Chadema, marehemu Hiza alikuwa kwenye moja ya vikao vya chama hicho hadi jana saa tano usiku wa kuamkia leo.
…Akiwa katika moja ya mikutano ya Chadema.
Marehemu Tambwe Hizza amefariki akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa pumu na alikuwa pia mmoja wa waratibu wa kampeni za chama hicho katika jimbo la Kinindoni
Hizza anafahamika sana kwa siasa zake akiwa CUF, baadae alihamia CCM na kuwa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Propaganda wa CCM na 2015 aliamua kuondoka CCM na kuhamia CHADEMA.
Comments
Post a Comment