A person injured in a fire is
carried from a hospital in Miryang, South Korea, Friday, Jan. 26, 2018.
The hospital fire causes scores of casualties and injuries, according to
a fire agency official. (Kim Dong-mi/Yonhap via AP)
WATU 39 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika
ajali ya moto uliyotokea katika Hospitali ya Sejong, Kusini Mashariki
mwa Korea Kusini usiku wa kuamkia leo. Firefighters try to put out a fire at a hospital in Miryang, South Korea, Friday, Jan. 26, 2018. (Kim Dong-mi/Yonhap via AP)
Taarifa za awali zimeeleza kuwa moto huo ulianzia kwenye chumba cha
dharura cha hospitali hiyo ambapo maofisa wa usalama wameeleza kwamba
huenda idadi ya waliokufa ikaongezeka kutokana na hali mbaya za baadhi
ya majeruhi hao. Firefighters
try to put out a fire at a hospital in Miryang, South Korea, Friday,
Jan. 26, 2018. (National Fire Agency/Yonhap via AP)
Zaidi ya majeruhi 100 wanasemakana wamo katika jengo la hospitali
hiyo. Picha za mitandao ya jamii, zinaonyesha vikosi vya zima moto
wakijaribu kukabiliana na moto huo huku kukiwa na moshi mkubwa. A
person injured in a fire is carried from a hospital in Miryang, South
Korea, Friday, Jan. 26, 2018. The hospital fire causes scores of
casualties and injuries, according to a fire agency official. (Kim
Dong-mi/Yonhap via AP)
Mwaka jana watu 29 walikufa katika mji wa Echeon, Korea Kusini, na
wengine kujeruhiwa baada ya moto kuzuka katika sehemu ya mazoezi ya
wazi. Chanzo: BBC Swahili.
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2 BOFYA HAPA PICHA 3 BOFYA HAPA PICHA 4
Picha chafu za msanii nyota wa bongo movie Edward Tem “Nick” zimevuja zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake. Ikumbukwe kwamba wiki kdhaa za nyuma jamaa huyo aliwahi kufumaniwa gesti na msanii mchanga wa kike ambaye ni mke wa mtu na sakata hilo liliishia kituo cha Polisi baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Comments
Post a Comment