ALICHOKIANDIKA MKE WA KAFULILA BAADA YA KUONANA NA TUNDU LISSU LEO

Leo December 30, 2017 Mke wa aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ambaye pia ni Mbunge wa viti maalum Singida Jesca Kishoa alikuwa Nairobi Kenya ambapo alienda kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu aliyeshambuliwa kwa risasi akiwa nyumbani kwake Dodoma na watu wasiojulikana.
Kupitia account yake ya Instagram aliandika jumble usemao.>”Shauku yake ya kulitetea taifa hili imeongezeka mara 100000000000….. Aisee ni kama kuzima moto kwa petrol. Wasiojulikana wamemfanya awe jasiri zaidi.Glory to the Almighty God.Aluta Continua

Comments

Popular posts from this blog