SIMBA 6 WATOROKA KWENYE HIFADHI YAO WAINGIA MTAANI.

Simba wapatao sita wa Mbuga ya Taifa ya nchini Nairobi wametoroka kwenye hifadhi hiyo na kuingia mjini kwenye makazi ya watu na baade kurudi wenyewe kwenye hifadhi yao.Simba hao walionekana majira ya asubuhi maeneo ya Hhospitali ya Langata wakizunguuka na baadae maeneo ya Kibera ambapo huishi watu wengi hayo yamezungumzwa na Muhudumu wa hifadhi hiyo Paul Udoto kwa mujibu wa chanzo cha habari hii.
Aidha baada ya muda wahusika wa hifadhi hiyo kuona Simba hao hawapo walianza kuwafuatilia na baada ya nuda wakiwaona wakirudi wenyewe kuelekea kwenye hifadhi hiyo ambapo hakuna aliyepatikana kujeruhiwa na simba hao

Comments

Popular posts from this blog