MVUA ZASABABISHA HUDUMA ZA USAFIRI BARABARA YA MOROGORO KUFUNGWA
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Mvua ya inayoendelea kunyesha kwa siku mbili mfululizo katika jiji la
Dar es salaam, imesababisha mafuriko makubwa katika maeneo mbalimbali
Jijini humo, ikiwemo eneo la Jangwani ambapo maji hayo yamefunga
mawasiliano ya barabara ya Morogoro, Hakuna gari inayokwenda wala kurudi
mjini.
Mpaka sasa umeripotiwa kuokotwa katika mto kenge uliopo Tabata jijini humo, mwili wa mtu mmoja mwenye jinsia ya kiume.
Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema
amefika katika eneo hilo nakuwataka wananchi kuondoka katika maeneo hayo
kwasasa kwakuwa maji yanaendelea kuongezeka.
Kituo
cha mabasi ya mwendo kasi cha Fire kikiwa kimesimama kutoa huduma kwa
abiria baada kujaa maji kwa bonde la Jangwani na kufunika barabara
kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Jijini Dar es salaam leo Oktoba 26,
2017. Mbunge
wa Jimbo la Ilala Iddi Azan Zungu akizungumza na waandishi wa habari
baada ya kufika eneo la Jangwani lilolokumbwa na mafuriko na kusababisha
barabara ya Morogoro kufungwa kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha leo
Oktoba 26, 2017 Jijini Dar es salaam. Eneo
la bonde la Jangwani likiwa limefurika na kuziba barabara ya Morogoro
kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Jijini Dar es Salaam.
Barabara ya Morogoro ikiwa imefungwa kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Jijini Dar es salaam. Gari
za mwendokasi zikiwa zimesitisha huduma kwa sasa kufuatia mvua
zinazoendelea kunyesha leo Oktoba 26, 2017 Jijini Dar es salaam.
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2 BOFYA HAPA PICHA 3 BOFYA HAPA PICHA 4
Picha chafu za msanii nyota wa bongo movie Edward Tem “Nick” zimevuja zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake. Ikumbukwe kwamba wiki kdhaa za nyuma jamaa huyo aliwahi kufumaniwa gesti na msanii mchanga wa kike ambaye ni mke wa mtu na sakata hilo liliishia kituo cha Polisi baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Comments
Post a Comment