Mganga Mkuu Afunguka Kuhusu Vifo vya Watoto Wachanga 9
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Mganga Mkuu Mkoa wa Arusha Dkt. Wonanji Timoth amekanusha taarifa za
kufariki kwa watoto 9 waliokuwa kwenye Incubator kutokana na katizo la
umeme hapo jana hospitali ya Mt. Meru, na kusema kwamba taarifa hizo
hazina ukweli wowote. Akizungumza
na mwandishi wa habari wa East Africa Television, Dkt. Timoth amesema
kwamba watoto waliofariki walikuwa wanne na sio 9 kama inavyoelezwa
kwenye taarifa iliyosambaa mitandaoni, na wamefariki kwa matatizo
mengine lakini sio kukatika kwa umeme.
Dkt. Timoth ameendelea kwa kueleza kwamba moja ya sababu iliyofanya
watoto hao kufariki ni mama kuchelewa kufika hospitali kujifungua kwa
kuwa alijifungulia nyumbani, pamoja na hatari kubwa wanazopata watoto
njiti.
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2 BOFYA HAPA PICHA 3 BOFYA HAPA PICHA 4
Picha chafu za msanii nyota wa bongo movie Edward Tem “Nick” zimevuja zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake. Ikumbukwe kwamba wiki kdhaa za nyuma jamaa huyo aliwahi kufumaniwa gesti na msanii mchanga wa kike ambaye ni mke wa mtu na sakata hilo liliishia kituo cha Polisi baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Comments
Post a Comment