Ukivalia viatu vyako bila soksi unajiweka katika hatari
ya makubwa zaidi kuliko kunuka kwa miguu pekee.Chuo cha tiba ya miguu
nchini Uingereza kinasema karibuni kumekuwa na ongezeko la maambukizi ya
maradhi yanayosababishwa na kuvu kutokana na kuvuma kwa mtindo wa
kuvalia viatu bila soksi, hasa miongoni mwa vijana.Mtaalamu Emma
Stephenson anasema amekuwa akipokea wanaume wa kati ya miaka 18-25 walio
na matatizo kwenye miguu yao ambayo yametokana na kutovalia soksi au
kuvalia viatu visivyowatosha vyema.Kutovalia soksi siku hivi kumekuwa
mtindo maarufu wa mavazi, na mwanamuziki Sam Smith ni miongoni mwa watu
wanaojitokeza hadharani wakiwa na viatu bila soksi.
Wanaume wengi katika maonesho ya mitindo pia mara
nyingi huonesha mavazi wakiwa na viatu bila soksi.Mwanamuziki Tinie
Tempah amejishindia tuzo nyingi kwa sababu ya mitindo na mara nyingi
katika maonesho ya mitindo ya Londo huketi viti vya mbele.Yeye pia huwa
mara nyingi havai soksi – lakini anafahamu madhara yake? “Miguu ya
binadamu kwa kawaida hutoa nusu painti (ambayo ni sawa na lita 0.28) ya
jasho kila siku,” Emma Stephenson anasema.”Unyevu mwingi na joto unaweza
kusababisha maambukizi ya maradhi yanayotokana na kuvu mfano ugonjwa
unaosababisha mwasho na kuchubuka kwa ngozi (kwa Kiingereza athlete’s
foot).
Moja ya visa vibaya nilivyowahi kukumbana navyo ni cha
mwanamume mmoja wa miaka 19 aliyefanya kazi ya kuosha magari. Miguu yake
ilikuwa inatokwa na jasho sana na ilikuwa imechubuka sana.” Lakini bila
shaka itachukua ujasiri kumwambia bingwa wa UFC Conor McGregor kwamba
anaweza kupata matatizo kutokana na mtindo wake wa kuvalia viatu. Emma
anashauri kwamba siri ni kutozidisha, iwapo bado utataka kutovalia
soksi. Jaribu usivae viatu bila soksi kwa muda mrefu. Jaribu pia kuweka
kitu cha kukausha jasho kwenye soli ya kiatu chako kabla ya kukivalia
bila soksi. Kadhalika, kuwa makini kuchunguza miguu yako. Ukigundua
unaumwa pahali tafuta usaidizi upesi.
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2 BOFYA HAPA PICHA 3 BOFYA HAPA PICHA 4
Picha chafu za msanii nyota wa bongo movie Edward Tem “Nick” zimevuja zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake. Ikumbukwe kwamba wiki kdhaa za nyuma jamaa huyo aliwahi kufumaniwa gesti na msanii mchanga wa kike ambaye ni mke wa mtu na sakata hilo liliishia kituo cha Polisi baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Comments
Post a Comment