BREAKING NEWS : AJALI MBAYA YA GARI NA TRENI TANGA LEO


Gari iliyokuwa kuwa imepakiza watoto imezima kwenye kivuko cha Kwaminchi na kugongwa na treni. Watoto wawili waliokuwa wamekaa mbele walinusurika kifo baada ya dereva kuwaambia waruke, ila waliumia na kukimbizwa Hospitali.

Comments

Popular posts from this blog