JPM Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Aliyejeruhiwa kwa Risasi
Rais Magufuli akimjulia hali Meja Jenerali Mstaafu Vincent Mribata aliyelazwa hospitalini Lugalo.
RAIS John Magufuli leo Jumanne
ametembelea Hospitali ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ)
Lugalo, Jijini Dar es Salaam na kumjulia hali Meja Jenerali Mstaafu
Vincent Mribata aliyelazwa hospitalini hapo baada ya kushambuliwa na
watu wenye silaha wakati akiingia nyumbani kwake Ununio, Kinondoni
jijini Dar es Salaam.
Rais Magufuli akisalimiana na mtoto.
Rais Magufuli akimjulia hali Meja Jenerali Mstaafu Vincent Mribata aliyelazwa hospitalini Lugalo.
Rais Magufuli akimjulia mmoja wa wagonjwa wliolazwa hospitalini hapo.
Rais Magufuli akimjulia hali Meja Jenerali Mstaafu Vincent Mribata aliyelazwa hospitalini Lugalo.
Comments
Post a Comment