BREAKING NEWZ: Mchekeshaji MC Pilipili amepata ajali

Taarifa zilizoifikia muda huu kuhusiana na mchekeshaji MC Pilipili amepata ajali ya gari akiwa katikati ya Nyasamba na Bubiki mkoani Shinyanga.
MC Pilipili amepata ajali akiwa kwenye garia aina ya Prado na kukimbizwa hospitali, kwa matukio na habari zaidi zinafuatilia kwa ukaribu ili kuweza kukuletea habaria kamili.

Comments

Popular posts from this blog