ANGALIA PICHA YA KWANZA MADAKTARI WALIOKOA MAISHA YA TUNDU LISSU


                       Timu ya Madaktari waliookoa uhai wa Mh Lissu kwa huduma ya dharula Mjini Dodoma wakiwa chini ya Dr. Mpoki(Katibu Mkuu W/Afya), Dr. Mponda (Orthopaedic), Dr. Samwel (Orthopaedic),na

Dr. frank.Mh Lissu tayari ameondoka katika ardhi ya Tanzania na kwenda Nairobi Kenya kwa matibabu zaidi akiambatana na mkewe kipenzi wakili msomi Alicia Lissu sambamba na Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe, na Mh. Peter Misigwa.

Comments

Popular posts from this blog